Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Featured Image

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio kwani vp?

Mbona hatuoni matunda yake?

Kwani mi nlienda na miche ya mipapai au miembe au umeambiwa TIA, IFM na IAA wanakodisha Mashamba ya nyanya ????????

Hamna sio hvyo umeenda mbali kaka

Kama kilomita ngapi?

Haya yaishe bhana…

Ukome kwa kiherehere

Nitukane tuu unakumbuka kuna SKU nlkupa buku ya nauli?

Nitajie namba yako ya tgo pesa nkuwekee hyo buku

Kwani mi nimesema unilipe

Utajua mwenyewe ila nakutumia kwenye namba uliyonitext wee si umefanya ujinga mi nafanya upumbavu

Simple lyke dat Viherehere huwa tunawajbu HVOβ€¦β€¦πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Hashim (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Malisa (Guest) on June 6, 2024

😁 Hii ni dhahabu!

Abdillah (Guest) on May 6, 2024

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on April 3, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on March 8, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Moses Mwita (Guest) on March 8, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Elizabeth Mtei (Guest) on February 12, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on January 5, 2024

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Anthony Kariuki (Guest) on December 29, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on December 28, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

George Ndungu (Guest) on December 19, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nora Kidata (Guest) on November 12, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Elizabeth Mrema (Guest) on November 2, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on October 14, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Frank Macha (Guest) on October 10, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Bahati (Guest) on September 24, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Philip Nyaga (Guest) on September 20, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kheri (Guest) on September 8, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mwinyi (Guest) on August 16, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

John Lissu (Guest) on August 8, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

John Kamande (Guest) on July 20, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Tabu (Guest) on June 16, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on June 14, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Halimah (Guest) on May 29, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Lucy Mahiga (Guest) on April 16, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on April 14, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on March 23, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Mary Sokoine (Guest) on March 21, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Kahina (Guest) on March 16, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nduta (Guest) on March 13, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Richard Mulwa (Guest) on March 12, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on March 10, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on February 28, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Shabani (Guest) on February 26, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Abdillah (Guest) on January 12, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Patrick Akech (Guest) on January 4, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Mrope (Guest) on December 29, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Aoko (Guest) on December 15, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on November 30, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 29, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Victor Mwalimu (Guest) on November 29, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Carol Nyakio (Guest) on October 28, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Elizabeth Mtei (Guest) on October 6, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on September 24, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on September 14, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Safiya (Guest) on August 20, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Rabia (Guest) on August 20, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Sharon Kibiru (Guest) on July 26, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on July 14, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

John Lissu (Guest) on June 12, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Frank Macha (Guest) on April 29, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Patrick Mutua (Guest) on April 29, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on April 27, 2022

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Andrew Mahiga (Guest) on April 13, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on March 20, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Charles Mchome (Guest) on February 17, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on January 20, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Tabitha Okumu (Guest) on January 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

David Kawawa (Guest) on December 25, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Related Posts

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More