Jinsi ya kupika Vileja Vya Tambi
Date: April 18, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Viambaupishi
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2
Siagi 4 Vijiko vya supu
Maziwa (condensed) 300Ml
Lozi zilizokatwakatwa 1 kikombe
Zabibu kavu 1 Kikombe
Arki (essence) 1 Kijiko cha supu
Jinsi ya kuandaa na kupika
1) Weka karai kwenye moto kiasi
2) Tia siagi
3) Tia tambi uzikaange usiachie mkoni mpaka ziwe rangu ya dhahabu.
4) Weka lozi na zabibu huku unakoroga
5) Tia maziwa na huku unakoroga usiachie mkono.
6) Tia arki
7) Epua karai, tumia kijiko cha chai kwa kuchotea na utie kwenye kikombe cha kahawa nusu usikijaze.
8) Kipindue kwenye sahani utoe kileja.
9) Fanya hivyo mpaka umalize vyote.
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Karibu tena jikoni, leo tunaandaa vitafunwa kwa ajili ya kifungua kinywa asubuhi.
Mahitaji
Unga wa ngano (self risen flour 2 vikombe vya chai)
Hamira (yeast kijiko 1 ...
Read More
Mahitaji
Mchele - 3 vikombe
Samaki Nguru (king fish) - 5 vipande
Vitunguu - 2...
Read More
Viambaupishi
Unga 300gm
Siagi 225gm
Icing Sugar 60gm
Chokoleti iliyokoz...
Read More
MAHITAJI
Unga - 3 Vikombe vya chai
Baking powder - 1 Β½ Vijiko vya chai
Sukar...
Read More
Viamba upishi
Mgagani mkono 1
Mafuta vijiko vikubwa 4
Karanga zilizosagwa kikom...
Read More
Mahitaji
Unga wa ngano (self risen flour) 100g
Sukari (sugar) 100g
Siagi isiyok...
Read More
MAHITAJI
Unga wa mchele - 500g
Samli - 250g
Sukari - 250g
Hiliki iliyos...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga vikombe 2
Sukari ya kusaga 1/4 Kikombe
Siagi 250 gms
...
Read More
Virutubishi
ni viini vilivyoko kwenye chakula ambavyo vinauwezesha mwili kufanya kazi zak...
Read More
Nini maana ya lishe?
β’ Lishe yahusu mafunzo ya chakula na jinsi miili ...
Read More
MAHITAJI
1 kilo unga wa ngano
240 ml maji ya vugu vugu
2 olive oil kijiko kikub...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!