Jinsi ya kupika Vileja Vya Tambi
Date: April 18, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Viambaupishi
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2
Siagi 4 Vijiko vya supu
Maziwa (condensed) 300Ml
Lozi zilizokatwakatwa 1 kikombe
Zabibu kavu 1 Kikombe
Arki (essence) 1 Kijiko cha supu
Jinsi ya kuandaa na kupika
1) Weka karai kwenye moto kiasi
2) Tia siagi
3) Tia tambi uzikaange usiachie mkoni mpaka ziwe rangu ya dhahabu.
4) Weka lozi na zabibu huku unakoroga
5) Tia maziwa na huku unakoroga usiachie mkono.
6) Tia arki
7) Epua karai, tumia kijiko cha chai kwa kuchotea na utie kwenye kikombe cha kahawa nusu usikijaze.
8) Kipindue kwenye sahani utoe kileja.
9) Fanya hivyo mpaka umalize vyote.
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
VIAMBAUPISHI
Unga - 4 Vikombe
Sukari - 1 Kikombe
Baking powder 1 kijiko cha c...
Read More
Mahitaji
Miguu ya kuku (chicken legs) 10
Kitunguu swaum na tangawizi (ginger & g...
Read More
Mahitaji
Ngano nzima (shayiri) - 3 Vikombe
Kuku - Β½ (3 LB takriban)
Thomu na...
Read More
Mahitaji
Mchele (Basmati rice) 1 kilo
Vitunguu (chopped onion) 2 vikubwa
Garlic...
Read More
Viambaupishi
- Mchele (Basmati) - 3 vikombe
- Mbogamboga za barafu (karot, njege...
Read More
Biriani ni miongoni mwa vyakula ambavyo ni nadra sana kupikwa katika familia nyingi tofauti na vy...
Read More
VIPIMO VYA SAMAKI
Samaki wa sea bass vipande - 1Β 1/2 LB (Ratili)
Kitunguu saumu(tho...
Read More
Mahitaji
Unga wa ngano (self risen flour 2 vikombe vya chai)
Hamira (yeast kijiko 1 ...
Read More
Mahitaji
Mchele wa basmati - 3 Vikombe
Dengu - 2 vikombe
Viazi - 3 vikubwaRead More
Viamba upishi
Unga wa ngano 1 Kilo
Siagi ΒΌ kilo
Mayai 2
Kastadi (custa...
Read More
Viambaupishi: Wali
Mchele 3 Magi
Mafuta 1/4 kikombe
Karoti unakata refu refu ...
Read More
MAHITAJI
Maji baridi β kikombe 1
Biskuti za kawaida β paketi 2
Kaukau (co...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!