Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Featured Image

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule

3:Kama unajua kuliko mimi njoo ufundishe wewe

4:Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako

5:Hata msiponisikiliza mshahara wangu uko pale pale

6:Baba yako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo tu

7:Hata nikeshe nafundisha wengine ni mizigo hawatoki na lolote

8:Tunavisaidia tu kwan vikifanikiwa mbelen hata salam vinatoa?

9:Bichwa kubwa ubongo nukta

10:Wengine hapa wamekuja kukua tu

SHARE NA MARAFIKI ZAKO WAKUMBUKE ENZI ZA SHULE KIDOGO

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Abubakari (Guest) on July 5, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Simon Kiprono (Guest) on July 3, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Henry Sokoine (Guest) on June 2, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on May 14, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on May 12, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on April 25, 2024

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nuru (Guest) on April 4, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Lucy Kimotho (Guest) on March 29, 2024

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Robert Ndunguru (Guest) on March 20, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Mrope (Guest) on February 25, 2024

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Guest (Guest) on September 28, 2025

Ya 3 inauma sana

Grace Mligo (Guest) on February 24, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shamim (Guest) on February 24, 2024

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Elizabeth Mrope (Guest) on February 21, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Grace Mushi (Guest) on February 4, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on January 24, 2024

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on December 29, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Zawadi (Guest) on December 28, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Jane Malecela (Guest) on December 26, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on December 18, 2023

🀣πŸ”₯😊

Janet Mwikali (Guest) on November 17, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on November 13, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on November 5, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on November 3, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joyce Nkya (Guest) on October 31, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Margaret Mahiga (Guest) on August 24, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Hellen Nduta (Guest) on August 3, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Ndungu (Guest) on July 6, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Wilson Ombati (Guest) on June 6, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on June 3, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on May 26, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on May 23, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on May 12, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on April 22, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on April 9, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on March 16, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Paul Kamau (Guest) on March 9, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Guest (Guest) on February 10, 2026

Ya 9 noma sana

Charles Wafula (Guest) on February 25, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Thomas Mtaki (Guest) on January 16, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on January 11, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mwajuma (Guest) on January 1, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Safiya (Guest) on December 12, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on December 5, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on December 5, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on November 27, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Furaha (Guest) on November 5, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Rabia (Guest) on November 3, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Jane Muthui (Guest) on October 24, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on October 21, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on September 28, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on September 26, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwanahawa (Guest) on September 21, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Jaffar (Guest) on September 10, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Jane Malecela (Guest) on September 9, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine (Guest) on August 22, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Azima (Guest) on July 28, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Related Posts

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More