Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Featured Image

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

A: *Hapana, nimebadilisha kichwa.*

Q: Hiyo simu umenunua?

A: *Hapana nimeitengeneza mwenyewe.*

Q: Utakula mboga na nini?

A: *Mdomo*

(Simu inaita usiku,then aliyepiga anauliza) Q: Nimekuamsha?

A: *Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.*

Q: Gazeti la leo linasemaje?

A: *Sijaongea nalo.*

Q: Gari limejaa, nitakaa wapi?

A: *Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.*

Q: Hiyo ni ajali?

A: *Hapana ni driver ameamua kupark gari upside down* .

Q: Umepause movie?

A: *Hapana wamechoka kuact wanarest.*
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Paul Ndomba (Guest) on July 24, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Guest (Guest) on January 7, 2026

Xawa

Alex Nakitare (Guest) on July 21, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Guest (Guest) on December 4, 2025

Chizi

Guest (Guest) on April 18, 2026

kula chuma hichoo!

Guest (Guest) on May 28, 2026

kal ya mwaka

Guest (Guest) on April 18, 2026

kula chuma hichoo!

George Wanjala (Guest) on June 23, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Guest (Guest) on January 28, 2026

A

Guest (Guest) on May 28, 2026

hii

Nancy Akumu (Guest) on June 10, 2024

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rubea (Guest) on June 3, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Chris Okello (Guest) on May 30, 2024

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on May 29, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Guest (Guest) on April 1, 2026

Pp

Omari (Guest) on April 12, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Francis Mtangi (Guest) on March 27, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Omari (Guest) on March 26, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Guest (Guest) on June 11, 2026

NI HATAR

Lucy Wangui (Guest) on March 13, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Victor Kamau (Guest) on February 5, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Sultan (Guest) on February 5, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Jane Muthui (Guest) on January 20, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Esther Cheruiyot (Guest) on January 10, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on January 4, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on December 26, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on December 25, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Charles Mchome (Guest) on November 9, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Andrew Mahiga (Guest) on September 1, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Guest (Guest) on June 28, 2026

mbosi anauliza wa fundi hio simentinikalisanaeti mufanyakazi akamujibu mbosihaunamwili

Linda Karimi (Guest) on August 26, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Frank Macha (Guest) on August 10, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Grace Wairimu (Guest) on July 18, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Andrew Mchome (Guest) on July 8, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Guest (Guest) on April 18, 2026

Tena

Guest (Guest) on April 18, 2026

Tena

Edward Chepkoech (Guest) on June 16, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joseph Mallya (Guest) on May 29, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Robert Okello (Guest) on May 5, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on April 24, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Edith Cherotich (Guest) on April 16, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Shamsa (Guest) on March 8, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on February 13, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on February 8, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Patrick Akech (Guest) on January 29, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Frank Sokoine (Guest) on December 25, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 12, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

David Nyerere (Guest) on November 30, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on November 22, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on November 2, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on October 21, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Richard Mulwa (Guest) on October 20, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Ruth Kibona (Guest) on October 14, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on October 1, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Margaret Anyango (Guest) on September 19, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on September 11, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Muslima (Guest) on September 5, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mtumwa (Guest) on August 20, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Peter Mbise (Guest) on August 12, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Related Posts

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More