Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza.

Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe.

Bahati mbaya wakiwa wamejilaza kitandani ili dalali aone adhabu wanayopata, Mzee mwenye mali alirudi ghafla, akauliza,

'Nyie mnafanya nini hapa?'

Masikini dalali kwa woga mkubwa akajibu' Tunangoja treni'
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mariam Hassan (Guest) on July 9, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Guest (Guest) on September 11, 2025

Huyo dalali hana akili

Shamim (Guest) on July 5, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on May 24, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Kassim (Guest) on May 22, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on April 23, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on April 13, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on January 23, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jackson Makori (Guest) on January 5, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Saidi (Guest) on January 4, 2024

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Henry Mollel (Guest) on December 31, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Karani (Guest) on December 8, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Rabia (Guest) on November 18, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Fadhili (Guest) on October 19, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Mushi (Guest) on October 3, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on September 22, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zakia (Guest) on September 18, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rose Lowassa (Guest) on September 13, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Zainab (Guest) on September 11, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Grace Minja (Guest) on August 30, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on August 28, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on August 20, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Chris Okello (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nora Kidata (Guest) on August 15, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on August 6, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Jane Muthoni (Guest) on August 1, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 24, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on July 17, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Faith Kariuki (Guest) on July 15, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on July 13, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on July 7, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Patrick Mutua (Guest) on July 3, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mary Mrope (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Michael Mboya (Guest) on June 25, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on June 23, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Warda (Guest) on June 11, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on June 4, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Kimario (Guest) on May 28, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Maneno (Guest) on May 13, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

David Chacha (Guest) on April 23, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Sarah Karani (Guest) on April 16, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on April 2, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on March 18, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on March 17, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Kamau (Guest) on February 23, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Josephine Nekesa (Guest) on February 19, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on January 28, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Grace Minja (Guest) on January 21, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Zuhura (Guest) on January 12, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Nancy Komba (Guest) on December 23, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Omar (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Mazrui (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Stephen Amollo (Guest) on November 22, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on November 16, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on November 5, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Shukuru (Guest) on October 28, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mariam Hassan (Guest) on October 8, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on October 7, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Zuhura (Guest) on October 5, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Related Posts

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More