Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Featured Image

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti ilivo tamu unajiskia kutafuna na kuimeza hiyo simu

Akikuita tu "my love"unajiskia tu kuvua nguo mwenywe
..
hicho kiupendo ukiwa nae unajskia unaweza piga wanaume 8 kwa pamoja

Yani ile love mtashinda pamoja kutwa nzima afu usiku unakopa salio umpigie muongee

Yani yale mapenz kiasi ukiona love story za romeo na Juliet unaona hakuna wanachofanya coz mapenz yao hayafikii yenu..

ile true love akikuangalia machoni akuguse mashavu afu akwambie,"I love u"
Unajishikilia kwenye ukuta usizimie..

yani ukimfikiria unaweza kulala chini ya kitanda Ku dilute hiyo feeling coz ni too much..

Umewahi kufeel hivyo??

Kama ushawai experience hivyo?? Basi HIYO SIYO "LOVE" NI "BANGI" PLZ ACHA KUTUMIA!
#ishakua_biashara_kichaa

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Isaac Kiptoo (Guest) on June 19, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on June 2, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Joseph Kitine (Guest) on May 12, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on April 15, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Faith Kariuki (Guest) on April 9, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on March 2, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Patrick Kidata (Guest) on February 12, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on January 31, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Latifa (Guest) on January 28, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Ann Wambui (Guest) on January 27, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Fadhila (Guest) on December 10, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on December 4, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on December 2, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Fadhila (Guest) on November 14, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Diana Mallya (Guest) on November 5, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Tabitha Okumu (Guest) on November 3, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

James Kimani (Guest) on October 28, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on September 8, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on August 31, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Sultan (Guest) on August 10, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 9, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on August 8, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on August 4, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

John Malisa (Guest) on July 12, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Janet Mbithe (Guest) on June 24, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Janet Mwikali (Guest) on June 19, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Raha (Guest) on June 15, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Faiza (Guest) on May 17, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Agnes Njeri (Guest) on May 15, 2016

Asante Ackyshine

Michael Onyango (Guest) on May 6, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Peter Mugendi (Guest) on April 20, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Rose Mwinuka (Guest) on April 2, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Samuel Were (Guest) on March 31, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Catherine Mkumbo (Guest) on March 31, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Victor Kamau (Guest) on February 28, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on February 16, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Ann Wambui (Guest) on January 30, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Chris Okello (Guest) on December 9, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on December 8, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Bakari (Guest) on December 8, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Brian Karanja (Guest) on November 29, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Baraka (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Frank Sokoine (Guest) on October 12, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Henry Sokoine (Guest) on September 14, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Jane Malecela (Guest) on September 6, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Miriam Mchome (Guest) on August 23, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 1, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Benjamin Masanja (Guest) on July 23, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on July 9, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Sokoine (Guest) on June 6, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on May 25, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Janet Mwikali (Guest) on May 3, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 21, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Betty Kimaro (Guest) on April 4, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Related Posts

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More