Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Featured Image

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18.

Wakati fundi anaendelea na kazi kumbe mmeo huyu dada alishafika. hakutaka kumjulisha mkeo, kwa nia nzuri tu ya kumfanyia suprise, kwani alikuja na mazaga zaga kibao. Hiyo aliingia kwa kunyatia hadi kwenye mlango wa chumbani kwao. Ghafla akasikia mazungumzo ya mkeo na fundi ndani. Mazungumzo yalikuwaje? fuatilia hapa chini

Mama X: Fanya haraka mme wangu amekaribia
Fundi: Nakaribia kumaliza, nisaidie kuchomeka vizuri upande wako (akikusudia chaga)
Mama X: Mbona haiingii
Fundi: Ingiza kwa upande upande
Mama X: Sukuma kwa nguvu
Fundi: Angalia usiumie
Mama X: Hamna shida imeingia

Wakati jamaa akiendelea kusikiliza mlangoni, fundi akaweza godoro juu ya kitanda na mama x akajitupa kitandani kujaribu kama kimetengamaa. mara chaga akachomoka na kuanguaka chini. Nini kilifuata

Mama x: Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiii(miguno) "my God, mbona hivi"
Fundi : Pole sana
Mama X: sasa?
Fundi: Ngoja nichomeke tena
Mama X: Yaan wewe, utaacha mme wangu afike hatujamaliza
Fundi: Usijali namaliza sasa hivi

Baada ya dakika chache, fundi akamuaga mama na kumwambia tayari, sasa naona umefurahi. Kutoka tu mlangoni akakutana uso kwa uso na jamaa amekunja ndita kama matuta ya viatu. Gues what happened?

Kitu gani kitatokea kisia toa maoni yako kama ni ww ungefanyaje?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Edith Cherotich (Guest) on July 23, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 18, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on June 6, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on May 26, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Saidi (Guest) on May 25, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Henry Mollel (Guest) on May 23, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Ann Awino (Guest) on May 6, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on April 26, 2024

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Victor Sokoine (Guest) on March 31, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on February 25, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Patrick Mutua (Guest) on February 12, 2024

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Amani (Guest) on January 14, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Nora Kidata (Guest) on December 29, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on December 24, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on December 17, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Joseph Njoroge (Guest) on December 11, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Habiba (Guest) on December 10, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Nora Kidata (Guest) on December 2, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on November 25, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Lydia Mutheu (Guest) on November 13, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mary Sokoine (Guest) on November 12, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on October 7, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on September 28, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on September 22, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on September 7, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

James Kimani (Guest) on September 1, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Warda (Guest) on August 4, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Jane Muthui (Guest) on July 21, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Rose Waithera (Guest) on July 16, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mwanaisha (Guest) on July 15, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Nora Lowassa (Guest) on June 15, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Arifa (Guest) on May 26, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Shukuru (Guest) on April 27, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Sumari (Guest) on April 16, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on April 12, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on April 3, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Mary Kidata (Guest) on March 28, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on March 28, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Andrew Mchome (Guest) on March 23, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on March 16, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on March 10, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on February 19, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on January 16, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Monica Lissu (Guest) on January 12, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Chris Okello (Guest) on January 9, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Joseph Njoroge (Guest) on December 6, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on December 1, 2022

Asante Ackyshine

Robert Okello (Guest) on November 16, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mohamed (Guest) on November 16, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on October 1, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mariam Kawawa (Guest) on September 23, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on September 16, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ali (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Linda Karimi (Guest) on September 2, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Francis Mtangi (Guest) on August 18, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Jane Muthui (Guest) on August 13, 2022

😊🀣πŸ”₯

John Mwangi (Guest) on August 6, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Athumani (Guest) on July 10, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Mallya (Guest) on June 24, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on June 12, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Related Posts

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More