Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.





2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.





3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?





4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.





5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.





6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.





7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.





8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.





9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.





10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Benjamin Kibicho (Guest) on July 18, 2024

😆 Naihifadhi hii!

Guest (Guest) on September 8, 2026

Kwamajina naitwa matthew
mi nakipaji chakuigiza lakin sija jua wap pakwenda kujiunga ili nitimize ndoto yangu yakuwa mwigizaji lakin iwe ni kahama au kagongwa naomba munielekeze
nilikua natafuta Namba yangu ni 0717143163 AU 079502621

Guest (Guest) on September 8, 2026

Kwamajina naitwa matthew
mi nakipaji chakuigiza lakin sija jua wap pakwenda kujiunga ili nitimize ndoto yangu yakuwa mwigizaji lakin iwe ni kahama au kagongwa naomba munielekeze ahsate
nilikua natafuta

Guest (Guest) on September 8, 2026

MALUME MALUME

Guest (Guest) on June 7, 2026

MATAKO

Guest (Guest) on June 1, 2026

PASCHAL BISI

Guest (Guest) on June 1, 2026

A

Guest (Guest) on May 30, 2026

J

Guest (Guest) on September 8, 2026

FALAMA

Guest (Guest) on May 23, 2026

N2MIE HAYO MANENO KWENYE SMS NAMB 0687188480

Guest (Guest) on September 6, 2026

Copy tu apo

Guest (Guest) on September 6, 2026

Copy tu apo

Guest (Guest) on September 6, 2026

Copy tu apo

Guest (Guest) on July 13, 2026

Apeche alolo

Guest (Guest) on February 10, 2026

sorry
aliesoma anailaum selekar et hana ajira wakat hata watumishi waselekar wameajiriwa
sasa
huyu selekar ninani anaeajiri watu
wasomi mtafuteni anaeitwa selekar ndoanae ajir au kipnd anaajiri we ulikuwa wap

Guest (Guest) on September 8, 2026

Shule

Guest (Guest) on April 7, 2026

We nicheki2 apo0622660821

Guest (Guest) on July 26, 2026

ni2mie vichekesho hum 0628475103,

Guest (Guest) on July 16, 2026

Noma sanaaa

Guest (Guest) on February 10, 2026

Abuu mahembe@
KARIBU Tanzania
nchi yenye utajiri wamajungu
nchi yenye baraka za uwongo"""
nchi yenye wivu""¡
nchi yenye kiu ya umbea nchi ya unafki
ukipata pesa unalogwa ukifulia unachekwa ukiwaomba fanyakaz mwanangu mwanamke akinenepa unamimba ukikonda unaukimwi ukisafiri kwenda kutafuta amekimbia madeni ukikaatu! hana jipya hana nyuma wala mbele ukisimama napisi dakika5 anamtongoza hawajui kama nidadayako ukivaa vizur sharobaro ukivaa vibaya huyu maskin nimchafu ukilala nimvivu ukitembe mzurulaji sasa unaesoma ujumbe huu ukisikiliza maneno yawatu hutofanikiwa mana wanakaba paka pena naTanzania ndonchi pekee maskini hakusoma ira anailaum selekar naaliesoma anailam selekar et hana ajira wakat hata watumishi waselekar wameajiriwa sara huyu selekar nanani anaeajir wasomi mtafuteni selekar ABU_MAHEMBEbyme nicheki tubonge 0681305278

Guest (Guest) on January 19, 2026

nili msimamisha njiani nikamuomba namba yake yasm akasita sita kama hataki mwisho akanipa ila kishingo upande nilipofika nikamtumia mambo akajibu pw nikaanza swaga zangu unajua toka nilipokuona pale mi moyo hauna amani nimetokea kukupenda sana nakupenda akajibu ahsante kwakunipenda tafikilia takupa jibu nikajibu naomba liwe jibu zur nakupenda sana akajibu sawa usijali ila nimeishiwa text nikamtumia vocha yabu pw pw ? zikapita siku3 yuko kimya nikampandia hewani mimimwenyewe vp jibu langu akanambia takupa badae usjal ilipofika badae nikapg 2kaongea tunacheka nikamuambia vp sas jibu akanambia we nimtu mzima sopaka utamkiwe usiaelewa kwamaneno hayo nikahis kabs %100 amekubal nikawa namuhudumia hela kusuka vinini ira sijapga hata busu siku yasiku ndo ananambia leo ndo nakupa jibu lako nikashtuka ila nikapuzi2 mida yasa3 usiku akapg sm mwenyewe nakuuwanza kusema mi namtuwangu SIKUPENDI alafu alishatumia kama 80000 yangu oya nimfanye nini uy dem au nim'bake ABU_MAHEMBE BYME

Guest (Guest) on May 19, 2026

Uliamua kuwa mzaz

Guest (Guest) on May 19, 2026

Uliamua kuwa mzaz

Guest (Guest) on May 4, 2026

nisaw

Guest (Guest) on February 5, 2026

Potezea utalipwa na mungu

Guest (Guest) on December 31, 2025

TANGAZO TANGAZO eee jamani kucheka nidawa kucheka niafya sasa mimi kama daktar tawatibu bure mpaka lin anzeni kunichangia jamani mcheke muongeze siku zakuishi nipeni kampan namimi nipate nguvu yakukusanya vichekesho kwauwered sasa tapataje nguvu yakufanya kazi isiokuwa namaripo USISEME NAKUCHEKESHA SIJAKUShIKA MDOMONI unacheka mwenyewe mi nik uku unanisingizia mimi kama vile nimelishaka domolako nikalipanua haya jamani tunaomkubar
ABU MAHEMBE wote tujitokeze kwawing kumuunga mkono unatupia umu (0681305278)
jelo au buku au yoyote uliyonayo kikubwa inifikie kama mchango namimi takuuanga text live kwanjia ya sms namba yangu iyoapo nichek kwa text zaid kwasasa sitapost tena text yoyote umu nimechoka kufanya kaz bira maripo sasampa usinitafute nikuunge kama hauna kesh tuma buku kwenye namb hiyo nikuunge
nawapenda jamani ndoma had mnanijuwa jina wapo wanaopost lakn hajurikan hata kwajina sovizur best my text by tukutane live tuchat

Guest (Guest) on December 19, 2025

we Mbosso wewe
kwasasa wapendanao wameanza kuitana
my Pawa

Guest (Guest) on December 19, 2025

we Mbosso wewe
kwasasa wapendanao wameanza kuitana
my Pawa

Guest (Guest) on December 22, 2025

|
| @
| <!>
| !!
| _/\_
|
|usione nikokimya
nawaza mwaka 2025 ndohuuwo unakatika HIVI SIKUDAI¡! KWERI
fikilia vizur kama nakudai tuma kwahi namba kataa mataper 0681305278 abu ee by

Guest (Guest) on December 13, 2025

"TANGAZO"
"TANGAZO"
"JAMANI"
"ABU"
"NIMEPOTEA
"ATAKAENIONA
"ANIPE"TARIFA"
"MANA"
NIMESHAJITAFUTA
SANA"RAKINI"SIJIPATI"

ABU MAHEMBE ME by
nipe
taarifa sasa 0681305278

Guest (Guest) on September 5, 2026

Oy

Guest (Guest) on April 11, 2026

Jux

Guest (Guest) on December 16, 2025

Uko wap

Guest (Guest) on June 9, 2026

A

Guest (Guest) on December 19, 2025

KGM TZ

Guest (Guest) on December 8, 2025

ety wewe nikiungo gani kilichojificha lakini ndo kinatumika sana kwenyemwili wabinadam ....?

Guest (Guest) on December 10, 2025

:KADI YA MWARIKO: wa VITA
familiya ya mzee MAANDAMANO
NA bibi MAUWAJI wanayo furaha kubwa kukualika kwenye sherehe ya mtoto wao mpendwa aitwae KIFO anaetarajia kufunga ndoa nawewe
MABOM NARISASI NDO chakura chenu kilichopo eneo la mtaani kwako tarehe9mwezi12 tunakukaribisha sana kwa maelezo zaidi KAZURURE SOKONI MITAANI NAMJINI UMAUT WAKO NDO mafanikio ya sherehe hiyo
ABU MAHEMBE
menn by
hahaha misimo

Guest (Guest) on December 10, 2025

:KADI YA MWARIKO:
WA vita
familiya ya mzee MAANDANO na
bibi MAUWAJI wanayo furaha kubwa kukualika kwenye sherehe yamtoto wao mpendwa aitwae KIFO anaetarajia kufunga ndoa nawewe MABOM NA RISASI yaliopo eneo lamtaani kwako tarehe 19 mwezi 12vinakukaribisha sana kwamaelezo zaidi KAZURURE SOKONI MITAANI NAMJINI hadi usiku UMAUTI WAKO ndiyo mafanikio yasherehe hiyo
ABU MENN BY
HAHAHA nyoote mnakaribishwaa
misimo

Guest (Guest) on May 23, 2026

UNAWEZA SANA

Guest (Guest) on December 8, 2025

".nampenda sana mama
nawewe ndugu yangu mpende sana mamayako mana yeye ndo kafanya mimi nawewe tukajuana muheshim mamayako haijalishi yuko vp kabra hujawaza kumzalau mama yako fikilia kwanza amekubeba tumboni myezi 9 mkumbuke kwaicho kdogo ulichopata mana hata yeye kipindi uko mdogo hakuweza kula paka uliposhiba wewe
hakuvaa nguo nzuri paka ulipo pendeza wewe hakulala usiku paka ulipo lala wewe nabado haikutosha miguu yake ukaifanya ndo choo chako mapajayake ukayafanya kiti chako mgongo wake ukaufanya gari lako lausafiri kila alipo upo nabado haikutosha akajifunya lugha yako yautotoni isioeleweka ir unapoongea ajue unahitaji nini akawa kama kichaa kukuchezesha iri usilie kukuongeresha hali yakuwa huongei ili ujuwe lugha sahihi paka leo umesimama amepitia meng mazito nandomana mama amepewa cheo kikubwa kwamtoto mama nimungu wapili baba asingeweza mama akikupa ladhi hutofanikiwa maisha yako yote nawenda ukawa chizi kabisa
ABU menn by

Guest (Guest) on December 8, 2025

kunasiku baba aliniambia nikasimamie wafanyakazi mi nikaenda kuwasimamia kweli hadi mda wakula nimewasimamia baba akanikuta nimesimama ety wewe mbona unawasimamia watu wako wanakula nikamjibu kwani wewe ulinambia nije kuwakalia au kuwasimamia
waTanzania tutenguege kauri utakuta mtu anajita msimamizi wakati mda wote amekaa oficini sasa wewe nimsimamizi au mkalizi hahaha
abu meenn by

Guest (Guest) on December 3, 2025

watoto waefumbili hamzeeki kila siku watoto wa2000 sasa kwanzia leo nawaita mabibi wa2000

Guest (Guest) on November 29, 2025

yani:mtu:unajickia kumpenda:: :mtu::alafu
anashindwa::kukuamini::
ety we binti wambeya :kwanini huniamini: nakupenda mwenzako
¿? ¿?

Guest (Guest) on November 29, 2025

''kama ujana maji ""yamoto"""birashaka
""uleo nimaji yabalidi

Benjamin Masanja (Guest) on July 3, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Guest (Guest) on December 2, 2025

".WAKIKULIZA."
".WAMBIE."
".BADO
NATAFUTA

Guest (Guest) on November 29, 2025

,ukozako sebreni
,umechoka unaskia
,mamayako anakwambia wewe? kamwangalie mtoto inje analia we unamjibu
aliaa_anashoto

Guest (Guest) on November 29, 2025

:ukiamua kujitumazako :ufanye kazi
:utaskia akishavutaga :bangi ndoalivyo
yani waTanzania
mhh^_^

David Nyerere (Guest) on June 8, 2024

Hii ni joke ya kipekee! 🤣👌

Guest (Guest) on November 29, 2025

|YANI UTAKUTA |KUNALIJAMAA |RINAMUOGOPA
|BINADAM MWENZAKE |KULIKO HATA LINAVO MUOGOPA MUNGU
IVI UNAAKIRI WEWE!!
"WEWE DADA WEWEKAKA UNAKUWA NAHOFU NABINADAM KULIKO HATA MUNGU UNAAKILI KWELI WEWE(%)

Guest (Guest) on November 29, 2025

%utakuta libaba lizima linamindevu linakwambia nakula ujana
kumbe ujana unaliwa
uleo je?hauliwi

Josephine Nduta (Guest) on May 27, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! 😂👏

Related Posts

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandika MBWA​MKALI kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto: baba eti Botwasna ipo wap?

Baba: angalia itak... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More