Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Featured Image

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbinguni na kushoto ni Jehanamu, Je unachagua kwenda wapi?

MANGI: Bwashee, mi nabaki hapa hapa njiapanda aisee.
MALAIKA: Kwa nini?
MANGI: Aisee, nikifungua duka hapa si nitapata wateja wa Mbinguni na Jehanam. Yani patakuwa senta ya hatari, supu na nyama choma muda wote. Hata we utafaidi, unavyoenda kuchukua roho unaniletea stock nakupa hela yako cash mkononi. Na kila ukipita hapa unapiga mchemsho wako wa ulimi na bia mbili chap kabla ya kuingia mbinguni.
Kwanza nashangaa Shirima alipitaje hapa bila kushika ploti, au alikufa amelewa sana?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Margaret Anyango (Guest) on March 17, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Ndoto (Guest) on March 16, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Monica Nyalandu (Guest) on February 27, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on February 13, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Nchi (Guest) on February 8, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

John Mwangi (Guest) on January 12, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mwanaidi (Guest) on January 10, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Jackson Makori (Guest) on January 1, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on December 24, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Kibwana (Guest) on December 22, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Lydia Wanyama (Guest) on December 18, 2016

🀣πŸ”₯😊

Omari (Guest) on December 10, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Mwalimu (Guest) on December 1, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Shamsa (Guest) on November 21, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Janet Sumari (Guest) on November 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

David Ochieng (Guest) on November 16, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jaffar (Guest) on November 5, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lydia Mahiga (Guest) on November 1, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 1, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on September 9, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Abubakar (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Hellen Nduta (Guest) on August 25, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on August 21, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Tambwe (Guest) on August 14, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on August 11, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Yusuf (Guest) on August 10, 2016

Asante Ackyshine

Grace Majaliwa (Guest) on August 6, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on August 1, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on July 31, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jane Malecela (Guest) on June 25, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Alex Nyamweya (Guest) on June 21, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Joseph Mallya (Guest) on June 18, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Maneno (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Nchi (Guest) on May 28, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Shukuru (Guest) on February 27, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Emily Chepngeno (Guest) on January 20, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on December 23, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 17, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on December 2, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on November 23, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Catherine Naliaka (Guest) on October 27, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Hekima (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Lucy Mahiga (Guest) on September 27, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on September 23, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Frank Macha (Guest) on September 2, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on August 19, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on August 17, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 2, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

George Tenga (Guest) on July 25, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on July 14, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Zakaria (Guest) on June 9, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Irene Akoth (Guest) on April 28, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

David Chacha (Guest) on April 17, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on April 1, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More