Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Featured Image

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dogo la Lap Top mkononi, sura inatazama Mbele Very Serious kama nipo kwenye Gwaride la Uhuru!..Mabega juu yanafanya Cheers na Mawingu!, natembea kwa madoido…..leo nimetoka Likizo Moshi,

"Brother Simu ya ukweli hii..kitu cha Tecno C9 bei poa" hii ilikuwa sauti ya Teja mmoja hivi!

Yaani huyu Teja Bwege kweli,anataka kumuuzia nani sabuni? mimi sio wa kuja!…kamwe Siwezi kuibiwa hapa Town,hakuna wizi au utapeli nisioujua!, Mimi nimezaliwa Mwananyamala kwa Manjunju, nikalelewa Tandale kwa Mtogole, Shule ya msingi nimesoma Turiani Magomeni, Hivi Mbwa gani aniibie?…kwa Style ipi?

Sipendi kabisa Upuuzi!, Wajinga ndio wataibiwa, sio Mimi!…sasa Kwa mwendo wa haraka nikatoka nje kabisa ya Stendi ya Ubungo straight mpaka Stendi ya dala dala za Kariakoo, hapo ndipo nikakutana na Vijana wawili wadogo wakiwa na mzani wa kupimia uzito,…hakika napenda sana vijana wanaojituma kama hawa na sio ile Mijizi ya kule ndani Stendi!!,….hapa sasa nikapata wazo!

"Dogo mnapima uzito kwa shilingi ngapi?''

"Mia mbili tu Kaka!"

''Ok"

Kwa mwendo wa kikakamavu nikapanda juu ya mzani,lengo hapa ni kujua uzito wangu, Mtori niliokula mwezi mzima kule kwa Mshekuu sio mchezo, hapa nahisi nacheza kwenye kg za John Cena,

"Mama wee! Dogo mzani mzima huu kweli? Mbona nina kilo 134?" (Nilihamaki)

"Aaah! Brother huoni umepanda na Mabegi juu ya mzani?'''

Hahaha! kweli nimechanganyikiwa!…Sasa nikatoa mabegi yote mawili na kurudi juu ya Mzani, hapa ndipo Uzito ukashuka kutoka kg 134 mpaka kg 56!…My God kweli Body la "One Pack " haliongopi! thats means mabegi yaliniongezea kg 78! duh hii ni hatari!

"Yaani we Dogo kitambi chote hiki kg 56? huu Mzani Mzima kweli?"

Kimya…

"Dogo huu Mzani vipi?"

Kimya…

Dogo ana dharau huyu!…Sasa ndio nikabandua macho yangu toka kwenye kioo cha mzani ili nimtazame huyu dogo asiyejibu!….ndipo macho yangu yakakutana na Kigoda tupu kilichochongwa Mvomero!…Dogo hakuwepo!….na Mabegi pia hayapo!…lap top haipo!….NIMEPIGWA!

Ni dhahiri watoto wa Mjini walikuwa wameniacha juu ya Mzani, wamechukua Lap top ya Milioni na wameniachia Mzani chakavu wa elfu 40, what a stress!….sasa nilirudisha macho kwenye kioo cha uzito na sasa kilisoma KG 38!…yaani dakika hii hii nimepungua kilo zingine 18, Hakiyamama nahisi hata utumbo wangu wamebeba!…niitieni Ambulance!

πŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Frank Sokoine (Guest) on June 21, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Malela (Guest) on June 4, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joyce Nkya (Guest) on May 25, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on April 30, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Agnes Njeri (Guest) on April 12, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on March 10, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

David Musyoka (Guest) on March 1, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Aziza (Guest) on February 15, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

George Tenga (Guest) on February 13, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Wande (Guest) on February 8, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Musyoka (Guest) on January 25, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on January 20, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Kijakazi (Guest) on January 19, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on December 9, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Khalifa (Guest) on November 2, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Henry Mollel (Guest) on October 6, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on August 25, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on August 8, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on July 25, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Samson Mahiga (Guest) on July 19, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on July 17, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on July 6, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Samuel Omondi (Guest) on June 22, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on June 16, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on June 15, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Samson Tibaijuka (Guest) on May 17, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Edwin Ndambuki (Guest) on March 20, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on February 25, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Edith Cherotich (Guest) on February 1, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on January 26, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on January 21, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Biashara (Guest) on January 9, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Rubea (Guest) on January 8, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Kahina (Guest) on December 13, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nancy Akumu (Guest) on November 11, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

David Kawawa (Guest) on October 26, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on October 19, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on September 29, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on September 23, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on September 18, 2015

😊🀣πŸ”₯

Violet Mumo (Guest) on September 17, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Maneno (Guest) on September 7, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Bernard Oduor (Guest) on September 6, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Joyce Nkya (Guest) on August 27, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

John Lissu (Guest) on August 20, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Tambwe (Guest) on July 29, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Salum (Guest) on July 21, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Alex Nyamweya (Guest) on July 10, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on June 2, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Linda Karimi (Guest) on May 31, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on May 14, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Tabu (Guest) on April 6, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Related Posts

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More