Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Safari ni safari

Featured Image

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maisha ni mazuri na mwingine ni mabaya, katika maisha yetu tumeshapitia safari nyingi sana na za aina mbalimbali kwa nyakati mbalimbali. Lakin kiukweli kila safari ni safari tuu.

Japokua kila safari ina changamoto zake lakini mwisho wake ni ule ule , kila safari ina uzuri na upekee wake.

Vile vile kila safari ina ubaya wake, kwa mfano kila safari ina gharama yake kulingana na upekee wake.

Usiwe na wasiwasi na mashaka na aina ya safari ulionayo, jipe moyo utaimaliza na kupata ulichokitarajia. Haya ndio maisha na wote tunatakiwa tuyafurahie.

Ingawa kila mtu ana safari yake bado wote tunatakiwa tufurahie pamoja kwa safari tuliyo nayo. Hata Uwe Na safar ya aina gani wewe furahi tuu. Hii ni kwa sababu safari mwisho wake ni mmoja kwa wote burudani ni ile ile

Safari🍺 ni safari 🍺hata kama ni ya chupa au ya kopo mwisho wake πŸ’€πŸ’€

πŸ˜‹πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ulijua ni nn??

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Stephen Kikwete (Guest) on August 4, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

George Mallya (Guest) on August 1, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on July 26, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Fadhila (Guest) on May 25, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Stephen Amollo (Guest) on May 21, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Agnes Sumaye (Guest) on May 6, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on May 4, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on April 14, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Josephine Nduta (Guest) on March 29, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on March 27, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 26, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Majid (Guest) on March 8, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 9, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

John Malisa (Guest) on January 31, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mhina (Guest) on January 23, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rabia (Guest) on December 30, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Michael Onyango (Guest) on November 20, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on November 18, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mchawi (Guest) on November 17, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Khadija (Guest) on October 12, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mchawi (Guest) on September 25, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Betty Akinyi (Guest) on September 23, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kijakazi (Guest) on September 13, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Jabir (Guest) on September 11, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Baraka (Guest) on July 17, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Richard Mulwa (Guest) on July 4, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Anna Sumari (Guest) on June 28, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on June 18, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Kamau (Guest) on June 16, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Makame (Guest) on May 23, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Alice Wanjiru (Guest) on May 19, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Anna Malela (Guest) on May 18, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on May 13, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Edwin Ndambuki (Guest) on May 10, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on May 4, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Salima (Guest) on March 19, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

David Musyoka (Guest) on March 19, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on March 8, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Rose Waithera (Guest) on March 5, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on February 15, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Khamis (Guest) on February 11, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Salma (Guest) on January 28, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 22, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on January 14, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on November 30, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Mwikali (Guest) on November 26, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on November 26, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

George Mallya (Guest) on November 20, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Mwanakhamis (Guest) on November 16, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Esther Nyambura (Guest) on November 13, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joseph Mallya (Guest) on November 4, 2017

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Ruth Kibona (Guest) on October 17, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Elizabeth Malima (Guest) on October 4, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on September 7, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

James Kimani (Guest) on September 4, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Kazija (Guest) on August 21, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Umi (Guest) on August 12, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on August 9, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on July 25, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Shani (Guest) on July 5, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Related Posts

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More