Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Unakumbuka haya enzi za shule?

Featured Image

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwalim anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani
2.unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni af unamuunguza mwenzio
3.mkiruhusiwa tu unakimbia unataka uwe wa kwanza kwenye njia yenu y kurudia nyumban
4.MTU akikukera unamfungia shule (mnapigana baada ya kufunga shule)
5.MTU akikunyima kitu chake unamwambia "Ahaa eeh utaona sa nne"
6.wadada wembamba ndo wanaongoza kwa kusuta wenzao
7.ukiibiwa daftar jipya unalia kuliko hata uliloandika
8.unajaza mapeni kwenye mkebe(compass) na mengine hayaandiki
9.vifaa vingine kwenye mkebe hujawahi hata kuvitumia mfano bikari labda utolee mwibaπŸ˜‚
10.hakuna habari nzur kama kuambiwa Leo hamna shule mwalim haupo
11.habari mbaya zaidi n kurud nyumban kutoka shule una njaa af unaambiwa chakula mgeni kaja tumempa
12.mtoto wa mwalim utamgundua tu kwanzia sweta begi na viatu vyake
13.usiombee umpige mtoto wa mwalim utataman uache shule
14.unatengeneza kifutio cha ndala af unatishia eti kinafuta hadi peniπŸ˜‚
15.ukaguzi na huna ufagio.. unaomba chelewa kwa watu af unaongeza kijiti katikati
16.siku ukienda na ufagio wanakagua maji, ukienda na naji wanakagua kuni au mboleaπŸ˜†
πŸ˜‚
Dah shule zetu hizi kiboko!!

Ipi umeipitia wewe
Share na wengine

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alex Nakitare (Guest) on July 9, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Guest (Guest) on December 20, 2025

Zote me nimepitia

Betty Kimaro (Guest) on June 7, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Issack (Guest) on June 5, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Frank Sokoine (Guest) on May 24, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Agnes Sumaye (Guest) on May 17, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Stephen Kikwete (Guest) on May 6, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on March 15, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nashon (Guest) on February 21, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Guest (Guest) on September 23, 2025

Zotenimepitia nomasanaaaaaaaaaa

Paul Kamau (Guest) on February 5, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on January 30, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on January 17, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on December 15, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lucy Kimotho (Guest) on November 16, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

John Malisa (Guest) on November 1, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on October 16, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on October 1, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Tambwe (Guest) on September 18, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Esther Cheruiyot (Guest) on September 14, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

George Ndungu (Guest) on September 7, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on September 5, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Charles Mrope (Guest) on August 10, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on August 2, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on July 25, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Violet Mumo (Guest) on July 10, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Majid (Guest) on June 28, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Joseph Kawawa (Guest) on June 7, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Sokoine (Guest) on June 5, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Abubakari (Guest) on May 4, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Nora Kidata (Guest) on April 27, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Agnes Sumaye (Guest) on April 11, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Bernard Oduor (Guest) on April 9, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Patrick Kidata (Guest) on April 2, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mgeni (Guest) on March 29, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

John Kamande (Guest) on March 26, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Jane Muthui (Guest) on March 23, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Esther Nyambura (Guest) on March 19, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on March 14, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on February 16, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Bakari (Guest) on February 8, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Shani (Guest) on January 28, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Brian Karanja (Guest) on December 31, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on December 27, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Wanjala (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

David Chacha (Guest) on November 13, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Leila (Guest) on November 8, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jaffar (Guest) on November 5, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Kheri (Guest) on August 20, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 4, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Esther Cheruiyot (Guest) on July 19, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

John Lissu (Guest) on May 31, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam (Guest) on May 24, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Charles Mboje (Guest) on May 24, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Thomas Mtaki (Guest) on May 18, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on May 5, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Joseph Kitine (Guest) on April 14, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Patrick Kidata (Guest) on April 11, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Wilson Ombati (Guest) on April 4, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Rubea (Guest) on March 28, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Related Posts

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More