Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Unakumbuka haya enzi za shule?

Featured Image

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwalim anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani
2.unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni af unamuunguza mwenzio
3.mkiruhusiwa tu unakimbia unataka uwe wa kwanza kwenye njia yenu y kurudia nyumban
4.MTU akikukera unamfungia shule (mnapigana baada ya kufunga shule)
5.MTU akikunyima kitu chake unamwambia "Ahaa eeh utaona sa nne"
6.wadada wembamba ndo wanaongoza kwa kusuta wenzao
7.ukiibiwa daftar jipya unalia kuliko hata uliloandika
8.unajaza mapeni kwenye mkebe(compass) na mengine hayaandiki
9.vifaa vingine kwenye mkebe hujawahi hata kuvitumia mfano bikari labda utolee mwibaπŸ˜‚
10.hakuna habari nzur kama kuambiwa Leo hamna shule mwalim haupo
11.habari mbaya zaidi n kurud nyumban kutoka shule una njaa af unaambiwa chakula mgeni kaja tumempa
12.mtoto wa mwalim utamgundua tu kwanzia sweta begi na viatu vyake
13.usiombee umpige mtoto wa mwalim utataman uache shule
14.unatengeneza kifutio cha ndala af unatishia eti kinafuta hadi peniπŸ˜‚
15.ukaguzi na huna ufagio.. unaomba chelewa kwa watu af unaongeza kijiti katikati
16.siku ukienda na ufagio wanakagua maji, ukienda na naji wanakagua kuni au mboleaπŸ˜†
πŸ˜‚
Dah shule zetu hizi kiboko!!

Ipi umeipitia wewe
Share na wengine

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alex Nakitare (Guest) on July 9, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on June 7, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Issack (Guest) on June 5, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Frank Sokoine (Guest) on May 24, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Agnes Sumaye (Guest) on May 17, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Stephen Kikwete (Guest) on May 6, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on March 15, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nashon (Guest) on February 21, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Paul Kamau (Guest) on February 5, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on January 30, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on January 17, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on December 15, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lucy Kimotho (Guest) on November 16, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

John Malisa (Guest) on November 1, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on October 16, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on October 1, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Tambwe (Guest) on September 18, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Esther Cheruiyot (Guest) on September 14, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

George Ndungu (Guest) on September 7, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on September 5, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Charles Mrope (Guest) on August 10, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on August 2, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on July 25, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Violet Mumo (Guest) on July 10, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Majid (Guest) on June 28, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Joseph Kawawa (Guest) on June 7, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Sokoine (Guest) on June 5, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Abubakari (Guest) on May 4, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Nora Kidata (Guest) on April 27, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Agnes Sumaye (Guest) on April 11, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Bernard Oduor (Guest) on April 9, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Patrick Kidata (Guest) on April 2, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mgeni (Guest) on March 29, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

John Kamande (Guest) on March 26, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Jane Muthui (Guest) on March 23, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Esther Nyambura (Guest) on March 19, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on March 14, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on February 16, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Bakari (Guest) on February 8, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Shani (Guest) on January 28, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Brian Karanja (Guest) on December 31, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on December 27, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Wanjala (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

David Chacha (Guest) on November 13, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Leila (Guest) on November 8, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jaffar (Guest) on November 5, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Kheri (Guest) on August 20, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 4, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Esther Cheruiyot (Guest) on July 19, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

John Lissu (Guest) on May 31, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam (Guest) on May 24, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Charles Mboje (Guest) on May 24, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Thomas Mtaki (Guest) on May 18, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on May 5, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Joseph Kitine (Guest) on April 14, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Patrick Kidata (Guest) on April 11, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Wilson Ombati (Guest) on April 4, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Rubea (Guest) on March 28, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Hekima (Guest) on March 10, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on February 23, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Related Posts

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More