Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza kipindi cha
dini " wanafunzi wakiwa wanajiandaa ili kuendelea
na kipindi mwalimu akajiegesha kwenye kiti klichokua
karibuu yake baada ya dakika kadhaa mwalimu alipitiwa
na usingizi, ghafla alingia mkurugenzi na
kusimama pembeni mwa kile kiti alichokalia mwalimu
ghafla kmya kikatawala darasani kiasi cha kunfanya
mwalimu ashtuke usingizini aliamka huku akipiga
miayo alpotupa jicho pembeni alimuona mkurugenzi
kasimama pemben! akiwa anababaika alifungua
kinywa na kusema ' Hivi ndivyo walivyolala wanafunzi
wa YESU walipokua wakimsubli kule mlimani, je
kuna mwenye swal? mkurugeni pale alipokua
akapiga makofi na kumsifia mwalimu kwa kufundisha
kwa vitendo.

Je % Ngapi unampa mwalimu kwa
kusolve kibarua chake.????

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

George Tenga (Guest) on January 1, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Abubakar (Guest) on November 22, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Isaac Kiptoo (Guest) on November 20, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Zulekha (Guest) on October 6, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Martin Otieno (Guest) on September 19, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Rose Lowassa (Guest) on August 25, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on August 16, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Miriam Mchome (Guest) on July 14, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Nkya (Guest) on July 6, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on July 3, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Kazija (Guest) on June 21, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwalimu (Guest) on June 18, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Stephen Kikwete (Guest) on June 8, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on May 13, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Amir (Guest) on May 13, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Janet Sumari (Guest) on April 26, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

James Malima (Guest) on April 22, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Zuhura (Guest) on April 15, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Susan Wangari (Guest) on April 2, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Azima (Guest) on March 31, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Sarah Mbise (Guest) on March 13, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Hamida (Guest) on March 12, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Paul Kamau (Guest) on March 12, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mwakisu (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Kiwanga (Guest) on January 28, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Patrick Akech (Guest) on January 26, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Anna Malela (Guest) on January 24, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Vincent Mwangangi (Guest) on January 22, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on January 16, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on January 6, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on January 4, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Khalifa (Guest) on December 31, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rahma (Guest) on December 31, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Grace Mushi (Guest) on December 25, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Sarafina (Guest) on December 1, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Stephen Malecela (Guest) on November 27, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on November 25, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on October 21, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Henry Sokoine (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jafari (Guest) on September 23, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Fredrick Mutiso (Guest) on September 10, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Raphael Okoth (Guest) on August 5, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on August 5, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mazrui (Guest) on July 27, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Grace Minja (Guest) on April 21, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Were (Guest) on April 14, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kikwete (Guest) on April 14, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on April 13, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Robert Ndunguru (Guest) on March 27, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on March 8, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Francis Njeru (Guest) on February 22, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Catherine Mkumbo (Guest) on February 17, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on February 13, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on January 23, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on December 30, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on December 27, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Monica Adhiambo (Guest) on December 9, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Chris Okello (Guest) on December 5, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Related Posts

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More