Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?





HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card inamaanisha mchezaji awache kucheza na atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light! Yellow- Ilani na Red - Simama
HUSBAND: Yeah yeah swity! Ndio hivyo.
WIFE: Na je Green Card??
HUSBAND: Aaaah! Hakuna kitu kama hicho.





WIFE: Nataka Arsenal ishinde world cup.
HUSBAND: [kimya]
WIFE: Ni nani yule mzee anakaa kama Mr. Bean??
HUSBAND: Yeees swity, yule ni kocha wa Arsenal, anaitwa Arsene Wenger.
WIFE: Oooooh! inamaanisha yule kocha mwengine ni Chelsea Wenger??
HUSBAND: [Kabadilisha channel]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Francis Njeru (Guest) on July 4, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on June 26, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Guest (Guest) on December 31, 2025

ndw

Jane Muthui (Guest) on May 23, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Abdullah (Guest) on May 12, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joseph Mallya (Guest) on April 28, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on April 15, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Grace Minja (Guest) on March 18, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Warda (Guest) on March 13, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Simon Kiprono (Guest) on March 11, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on February 25, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samuel Were (Guest) on January 21, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Susan Wangari (Guest) on January 8, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Dorothy Nkya (Guest) on December 10, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on November 26, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Sarah Karani (Guest) on November 26, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on November 22, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on October 22, 2023

😊🀣πŸ”₯

Violet Mumo (Guest) on October 1, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mashaka (Guest) on September 28, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Tabitha Okumu (Guest) on September 28, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Stephen Malecela (Guest) on September 1, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Kenneth Murithi (Guest) on August 20, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on August 19, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Zainab (Guest) on August 15, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

John Kamande (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on July 31, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Anna Mahiga (Guest) on May 14, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 12, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Alex Nyamweya (Guest) on May 4, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Abdillah (Guest) on May 4, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Josephine Nekesa (Guest) on April 20, 2023

🀣πŸ”₯😊

Raphael Okoth (Guest) on March 25, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on March 19, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on February 11, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Anna Malela (Guest) on February 3, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Diana Mallya (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Samson Tibaijuka (Guest) on January 8, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Sharon Kibiru (Guest) on December 31, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine (Guest) on December 26, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

David Musyoka (Guest) on December 19, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

David Ochieng (Guest) on December 6, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on November 27, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

John Lissu (Guest) on November 27, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on November 27, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Betty Kimaro (Guest) on November 26, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on November 6, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Biashara (Guest) on October 26, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Irene Akoth (Guest) on October 24, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Kevin Maina (Guest) on October 10, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on October 3, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Nancy Kabura (Guest) on October 3, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on August 30, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Kevin Maina (Guest) on July 31, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on July 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jabir (Guest) on July 13, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Kimario (Guest) on July 11, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Grace Wairimu (Guest) on June 25, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Alex Nyamweya (Guest) on June 19, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on May 20, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Related Posts

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More