Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Featured Image

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa
pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama
{confess}
"Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya
dhambi kubwa sana."
Padri, "Endelea…"





"Bosi wangu aliniita nyumbani kwake, akaniambia
amegundua nimeiba shilingi millioni 100 kazini. Akasema
nisipozitoa atanipeleka polisi, sa kwa ukweli mi naogopa
kufungwa.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu,nikatoa bastola nikamuua….. Yesu atanisamehe?"





Padri: "Utasamehewa."
"Basi wakati nataka kuondoka nikasikia mlango
unafunguliwa kutazama, Loh! Mke wa bosi, alipoona
kilichotokea akasema anapiga polisi simu.
Kutazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua na yeye pia… Yesu atanisamehe hilo?"
Padri: "Utasamehewa."





Nikatoka nje, nikawasha gari niondoke, lakini mlinzi
akakataa kunifungulia, ati amesikia mlio wa
bastola. Nikaona ataniletea kizuizi huyu.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe?"
Padri:"Utasamehewa."





"Nikajifungulia geti mwenyewe nikaenda
nyumbani, wakati napanga kuja kuungama mtoto wa bosi
akabisha hodi, nikawaza mambo gani tena, akasema alirudi
nyumbani na kukuta yaliyotokea akanionesha diary ya
babake, inayoonesha nilikuwa na appointment naye
wakati nilipomuua. Nikamuuliza nani mwingine anayejua?
Akasema ameanzia kwangu kisha anaenda polisi.





Nikatazama huku na huku nikakuta tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe na hilo?"





Kimyaa….
"Padri yesu atanisamehe?"
kimya….





Jamaa akatazama kwenye confession booth padri
hayupo, lakini kwenye kona moja akaona kabati la nguo
za mapadri linatikisika. Kufungua akaona padri kajificha ndani anatetemeka huku akitokwa na jasho.





Jamaa, "Sasa baba mbona umekimbia?"
Padri kwa taabu akajibu, "Nilitazama huku na huku
nikagundua tuko wawili peke yetu……."


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Kiwanga (Guest) on December 1, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on November 24, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Agnes Lowassa (Guest) on November 18, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mwanaidi (Guest) on November 17, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Zakia (Guest) on November 10, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Paul Ndomba (Guest) on November 4, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on November 4, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Peter Mugendi (Guest) on October 28, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on September 24, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Warda (Guest) on September 20, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Sarah Mbise (Guest) on September 18, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

James Kimani (Guest) on September 12, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Majid (Guest) on August 7, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on July 24, 2021

😊🀣πŸ”₯

Amani (Guest) on July 20, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Victor Sokoine (Guest) on June 17, 2021

🀣πŸ”₯😊

Stephen Mushi (Guest) on May 25, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on May 23, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

George Wanjala (Guest) on May 1, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on April 27, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on April 22, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on March 19, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on March 17, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on January 21, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Ann Awino (Guest) on January 13, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Rose Amukowa (Guest) on January 10, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Zubeida (Guest) on January 9, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 4, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nyota (Guest) on January 3, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mgeni (Guest) on December 14, 2020

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on November 25, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Tabitha Okumu (Guest) on November 15, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 10, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Zubeida (Guest) on September 23, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Alice Mwikali (Guest) on September 17, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Alice Mrema (Guest) on September 16, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on August 30, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 9, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Njuguna (Guest) on August 6, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on August 6, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Kazija (Guest) on July 12, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nancy Akumu (Guest) on June 13, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Raphael Okoth (Guest) on June 12, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Rabia (Guest) on May 18, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Samuel Omondi (Guest) on May 10, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Hellen Nduta (Guest) on May 7, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Frank Macha (Guest) on May 5, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 11, 2020

Asante Ackyshine

Mchawi (Guest) on April 3, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Shamim (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Raphael Okoth (Guest) on February 13, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Mwalimu (Guest) on January 19, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Chris Okello (Guest) on January 19, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Catherine Naliaka (Guest) on December 27, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 28, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Masika (Guest) on November 14, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Binti (Guest) on November 3, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on October 12, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Janet Sumaye (Guest) on September 22, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on September 4, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Related Posts

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More