Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Featured Image

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe:* πŸ‘†πŸΏ _(raised up his hand.)_

*Teacher:* `So it’s only Shemdoe that can tell who a pharmacist is in this class? Thus, no body else to answer the question except Shemdoe?`

_(There was no reply from the students)_

*Teacher:* `Ok. now Shemdoe, chukua hii fimbo, charaza vilaza hawa wote kila mmoja viboko 3.`

*Shemdoe* _(akiwa amevimba kichwa, akawatwanga viboko vitatu vitatu vya kushiba darasa nzima)_

*Teacher:* `Now, my dear Shemdoe tell this dumb students, who a pharmacist is…?`

*Shemdoe:* `Yes, sir. a Pharmacist is a farmer who assists people.`

_*Shemdoe sasa hivi amelazwa MOI kwa wataalam wa mifupa*_πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine Nekesa (Guest) on May 27, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwachumu (Guest) on May 14, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on April 18, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on April 13, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

David Ochieng (Guest) on March 12, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Malecela (Guest) on March 11, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mary Njeri (Guest) on March 3, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on February 12, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Faiza (Guest) on February 4, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Tenga (Guest) on January 30, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on January 22, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Halimah (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Mchome (Guest) on December 28, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Kiza (Guest) on December 14, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mary Njeri (Guest) on November 9, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Thomas Mtaki (Guest) on October 28, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on October 25, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Joseph Njoroge (Guest) on October 16, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on September 26, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on September 24, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on September 23, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on September 7, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Irene Makena (Guest) on September 2, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Shamsa (Guest) on August 19, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on August 2, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam (Guest) on August 1, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Josephine Nekesa (Guest) on July 22, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Joseph Mallya (Guest) on July 22, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Monica Nyalandu (Guest) on July 4, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on June 27, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Irene Akoth (Guest) on June 20, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Christopher Oloo (Guest) on June 13, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Anthony Kariuki (Guest) on May 26, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on May 21, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Baridi (Guest) on May 8, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Alice Jebet (Guest) on May 6, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on April 22, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Charles Mboje (Guest) on April 12, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mgeni (Guest) on March 20, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Mary Njeri (Guest) on March 4, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on February 26, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Thomas Mtaki (Guest) on February 22, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Shamsa (Guest) on February 19, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Alex Nyamweya (Guest) on February 6, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mariam Hassan (Guest) on February 2, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Mjaka (Guest) on January 30, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

John Mwangi (Guest) on January 14, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Janet Sumaye (Guest) on January 8, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Ali (Guest) on December 2, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Richard Mulwa (Guest) on November 30, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Martin Otieno (Guest) on November 30, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Edward Lowassa (Guest) on November 20, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Margaret Mahiga (Guest) on October 3, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Victor Malima (Guest) on October 1, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on September 26, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Wanyama (Guest) on August 5, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

George Ndungu (Guest) on August 2, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on July 11, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Stephen Mushi (Guest) on June 28, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on June 22, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Related Posts

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More