Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki hawa wachungaji

Featured Image

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana.

MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za sadaka.

WA PILI: Mimi tatizo langu ni wanawake yani nimeshalala na wana kwaya wote pamoja na mke wa ASKOF.

WA TATU akaanza kulia badala ya kuongea.WENZAKE:

We vp unatatizo gani mbona unalia???

AKAJIBU: jamani mimi tatizo langu ni "umbea" haya yote tuliyoongea lazima nikaseme!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Njoroge (Guest) on July 23, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Joyce Mussa (Guest) on July 17, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Charles Mchome (Guest) on June 22, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Khadija (Guest) on June 4, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Betty Kimaro (Guest) on May 25, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 6, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Nora Kidata (Guest) on April 29, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on April 18, 2024

🀣πŸ”₯😊

Fikiri (Guest) on March 16, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Minja (Guest) on March 8, 2024

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Charles Wafula (Guest) on February 16, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Zainab (Guest) on February 12, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Andrew Odhiambo (Guest) on December 31, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on December 28, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on December 14, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nancy Kabura (Guest) on December 7, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Chiku (Guest) on October 29, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Richard Mulwa (Guest) on October 28, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Esther Cheruiyot (Guest) on October 27, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Chum (Guest) on October 25, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on September 14, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on July 28, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Baraka (Guest) on July 15, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Elizabeth Mrope (Guest) on June 27, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Nyota (Guest) on May 26, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Binti (Guest) on April 5, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Betty Akinyi (Guest) on March 28, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Anna Mahiga (Guest) on March 14, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Agnes Lowassa (Guest) on March 8, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Philip Nyaga (Guest) on February 19, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Grace Minja (Guest) on December 8, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Jane Muthoni (Guest) on December 8, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Tabitha Okumu (Guest) on November 16, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on November 6, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on November 3, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mashaka (Guest) on November 1, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Anthony Kariuki (Guest) on October 29, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Rabia (Guest) on September 8, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on September 2, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on August 25, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Bahati (Guest) on August 8, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Edwin Ndambuki (Guest) on August 1, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chum (Guest) on July 30, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on July 17, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 26, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on June 22, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rose Waithera (Guest) on June 5, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Kevin Maina (Guest) on May 29, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Jane Malecela (Guest) on May 20, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 20, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Baraka (Guest) on May 19, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on May 16, 2022

😊🀣πŸ”₯

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 10, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on April 29, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Diana Mumbua (Guest) on April 24, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Joseph Kawawa (Guest) on April 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on March 25, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on March 21, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Related Posts

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More