Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kisa cha mzaramo na mchaga

Featured Image

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=
Na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki
yako nakukuongeza laki nyingine.
MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela aiwezi mpita akaenda kutibiwa.
MZARAMO: "unaumwa nini?"
MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.."
MZARAMO: "sawa, toa laki kabisa.."
Mchaga akatoa.
MZARAMO akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.."
MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?"
MZARAMO: "Umepona karibu tena.."
Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu nasahau
sanaaaaa.."
MZARAMO akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..'
MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..'
MZARAMO: "nesi naomba kikopo no.27.."
MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?"
MZARAMO: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Mahiga (Guest) on July 20, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on June 27, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mercy Atieno (Guest) on June 27, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Victor Malima (Guest) on June 1, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on May 20, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Yusra (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Thomas Mtaki (Guest) on April 24, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on April 3, 2024

😊🀣πŸ”₯

Charles Wafula (Guest) on April 1, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Husna (Guest) on February 22, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Stephen Kangethe (Guest) on January 31, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on January 24, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on January 20, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Shamsa (Guest) on January 9, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 9, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Nora Kidata (Guest) on January 8, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on January 4, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Grace Mligo (Guest) on December 28, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on December 23, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Vincent Mwangangi (Guest) on December 19, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Sumaye (Guest) on December 6, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 4, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on September 13, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Said (Guest) on August 14, 2023

Mchaga Noma

Ryan (Guest) on July 12, 2024

Noma kweli

Joseph Njoroge (Guest) on August 9, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Vincent Mwangangi (Guest) on August 5, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Ruth Kibona (Guest) on July 31, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on June 24, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Chiku (Guest) on June 24, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mwajabu (Guest) on June 17, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Daniel Obura (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Betty Akinyi (Guest) on June 7, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Frank Macha (Guest) on May 14, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on May 12, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on May 6, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nassar (Guest) on April 28, 2023

Asante Ackyshine

Agnes Njeri (Guest) on April 28, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Issa (Guest) on April 22, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Nuru (Guest) on March 12, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

David Nyerere (Guest) on February 19, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on February 12, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on February 10, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Malisa (Guest) on December 28, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on December 25, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Abubakari (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Halima (Guest) on November 26, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Andrew Mchome (Guest) on November 15, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Grace Mushi (Guest) on September 30, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Elizabeth Malima (Guest) on September 29, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on September 28, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Margaret Anyango (Guest) on September 26, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on September 17, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Binti (Guest) on September 9, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Victor Kamau (Guest) on August 29, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on August 28, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Kawawa (Guest) on August 26, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on August 5, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on July 31, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Related Posts

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More