Mwili wa mwanaume unatengeneza aina mbili za mbegu. Kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kiume na kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kike. Ile mbegu inayofika kwenye yai kwanza, inarutubisha yai na ni wakati uleule, jinsia ya mtoto i inatokea. Uwezekano wa kumpata mtoto wa kike au wa kiume unafanana, na hii ni kweli katika nchi zote duniani.

Inakuwaje mtoto anakuwa wa kike au wa kiume?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Je, kuna madhara yoyote pale utakapojaribu kutumia dawa za kulevya mara moja tu au utakapotumia kwa kiasi kidogo sana?
Kutumia dawa za kulevya kwa kiasi kidogo kunaweza kusilete madhara i ila mpaka tu pale utakapoyaz... Read More

Je,niwasiliane na niishi vipi na watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI na UKIMWI?
Mtu anayeishi na virusi vya UKIMWI na UKIMWI anahitaji ushauri na mara pale atakapohisi unamjali ... Read More

Kwa nini watu wanaamini kuwa Albino hawana maambukizo ya Virusi vya UKIMWI (VVU)?
Imani hiyo si kweli kabisa. Inawezekana ni kupotoshwa kwa
makusudi wa ukweli kuhusu jambo hi...
Read More

Vidokezo vya Kuwa na Uhusiano Wenye Furaha na Msichana
Kuwa na uhusiano wenye furaha na msichana ni jambo ambalo kila mwanaume anatamani. Lakini mara ny... Read More

Jinsi mimba inavyopatikana
Ukitaka kuelewa jinsi mimba i inavyopatikana, lazima uelewe mzunguko wa hedhi wa mwanamke. Baada ... Read More

Je, kuna jukumu la kijamii katika maoni ya watu kuhusu ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna jukumu la kijamii katika maoni ya watu kuhusu ngono/kufanya mapenzi? Jibu ni ndiyo, kuna... Read More

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Ujasiri kuhusu Ngono?
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Ujasiri kuhusu Ngono? π
Karibu kwenye makala h... Read More

Kwa nini hairuhususiwi kuotesha au kuvuta bangi, iwapo kupanda na kuvuta tumbaku kunaruhusiwa?
Sheria ya Tanzania inaeleza dawa zilizo halali na zisizo halali.
Tumbaku imekubalika na jami...
Read More

Je, pombe ni moja ya sababu za kuenea kwa Virusi vya UKIMWI na VVU au magonjwa mengine yatokanayo na kujamiiana?
Matumizi mabaya ya pombe ndiyo yanayosababisha kuenea kwa
VVU au magonjwa mengine yatokanayo...
Read More

Je, nini imani ya watu katika kufanya mazoezi ya kujenga ujasiri wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Leo tutazungumzia jambo la muhimu sana, ambalo ni kujenga ujasiri wakati wa ngono. Hivi karibuni,... Read More

Je, uke wa mwanamke unaweza kupanuka kiasi gani?
Wakati wa kujifungua, uke wa mwanamke mzima hupanuka kuanzia kipenyo cha sentimeta kumi mpaka kum... Read More

Jinsi ya Kujifunza Kutambua na Kuheshimu Makubaliano ya Kufanya Ngono
Jinsi ya Kujifunza Kutambua na Kuheshimu Makubaliano ya Kufanya Ngono π
Karibu vijana w... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!