Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Dawa gani za kulevya ni hatari zaidi?

Featured Image

Kwa ujumla dawa zote za kulevya zinaweza kuwa ni za hatari. Kati ya dawa zilizohalalishwa kisheria nikotini, ambayo i ipo kwenye sigara, ndiyo hasa ya hatari. Inawezekana kuwa umeshakuwa tegemezi kwa sigara. Hii i ii ina maana ubongo wako utaizoea nikotini na utahitaji nikotini zaidi na zaidi i i ili kuendelea kuwa na hali nzuri. Nikotini pia ni hatari zaidi kwa sababu vijana mara nyingi huanza kutumia sigara kabla ya kuanza kutumia dawa kali zaidi.

Miongoni mwa dawa zisizoruhusiwa kisheria nchini Tanzania, heroini ndiyo labda yenye kusababisha utegemezi. Vilevile inahusishwa na makosa mengi ya jinai. Utumiaji wa heroini ni hatari hasa katika maambukizi ya UKIMWI. Watu wanaposhirikiana katika kutumia sindano za kujidungia heroini wanajiweka katika hatari na uwezekano mkubwa sana wa kuambukizana virusi vya UKIMWI. Hili hutokea pia pale watumiaji wa heroini wanapojiuza mii li yao katika ngono i ili wapate dawa za kulevya au fedha za kununulia dawa hizo.
Uvutaji bangi husaidia kuondoa aibu na vizuizi. Hii i ii inamaanisha kuwa wavuta bangi wanaweza wakasahau kufanya ngono salama na hivyo kuwa katika hatari zaidi ya kupata au kueneza UKIMWI. Matumizi mabaya ya dawa huweza kuwa hatari sana na pengine kusababisha kifo pale zitakapotumiwa kupita kipimo ama zitakapochanganywa na dawa nyngine au pombe.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, Ni Lazima Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Marafiki au Shinikizo za Kisiasa?

Je, Ni Lazima Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Marafiki au Shinikizo za Kisiasa?

Je, ni lazima kufanya ngono kwa sababu ya marafiki au shinikizo za kisiasa? πŸ€”

Ndugu vij... Read More

Je, kuna tofauti za kitabia katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kitabia katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kitabia katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna! Ili kufurahi na kufikia kil... Read More

Je, kuna tofauti za kitamaduni katika mtazamo wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kitamaduni katika mtazamo wa ngono/kufanya mapenzi?

Habari za leo wapenzi wa Kiswahili! Leo tutajadili suala la tofauti za kitamaduni katika mtazamo ... Read More

Je, watu wanapendelea kutumia vifaa vya burudani kama vile vyombo vya muziki au nuru ya rangi wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kutumia vifaa vya burudani kama vile vyombo vya muziki au nuru ya rangi wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, umewahi kufanya mapenzi ukatumia vifaa vya burudani kama vile vyombo vya muziki au nuru ya ra... Read More

Kwa nini Albino wanatengwa katika masuala ya mapenzi na wale watu ambao siyo Albino?

Kwa nini Albino wanatengwa katika masuala ya mapenzi na wale watu ambao siyo Albino?

Watu huogopa kujaribu vitu au mambo ambayo hawajayazoea
au yale ambayo yapo tofauti. Jinsi u... Read More

Mapenzi salama ni yapi?

Mapenzi salama ni yapi?

Mapenzi salama ni yale yanayofanyika bila wasiwasi wa kupata mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zi... Read More

Je, unaweza kupanga kuzaa aina ya watoto, yaani wa kiume au wa kike tu?

Je, unaweza kupanga kuzaa aina ya watoto, yaani wa kiume au wa kike tu?

Mimba i inatungwa wakati yai la kike linaporutubishwa na mbegu za kiume. Kama tulivyoona hapo juu... Read More

ATHARI ZA ULEVI KATIKA JAMII

ATHARI ZA ULEVI KATIKA JAMII

Watu wanokunywa kupitia kiasi huathiri jamii kwa njia mbalimbali. Madhara mengine hutokea kwa kuwa w... Read More
Kwa nini ngozi ya Albino inafanana ya watu weupe?

Kwa nini ngozi ya Albino inafanana ya watu weupe?

Ngozi ya Albino ina ukosefu wa rangi. Inaonekana kama ya watu
weupe ambao wana kiasi cha pig... Read More

Je, inawezekana kujisikia huru kuelezea tamaa zako za ngono/kufanya mapenzi kwa mwenza wako?

Je, inawezekana kujisikia huru kuelezea tamaa zako za ngono/kufanya mapenzi kwa mwenza wako?

Karibu kwenye makala hii kuhusu swali la iwapo inawezekana kujisikia huru kuelezea tamaa zako za ... Read More

Je, kuna umuhimu wa kufanya ngono/kufanya mapenzi kwa mara kwa mara katika uhusiano?

Je, kuna umuhimu wa kufanya ngono/kufanya mapenzi kwa mara kwa mara katika uhusiano?

Je, kuna umuhimu wa kufanya ngono/kufanya mapenzi kwa mara kwa mara katika uhusiano? Hili ndilo s... Read More

Kwa nini mara nyingine mimba inatungwa kwenye mrija wa kupitisha mayai badala ya kwenye tumbo la uzazi?

Kwa nini mara nyingine mimba inatungwa kwenye mrija wa kupitisha mayai badala ya kwenye tumbo la uzazi?

Mara nyingi utunguaji mimba nje ya mfuko wa uzazi hutokea kwa sababu ya maradhi kwenye via vya uz... Read More