Kugusana kwa kutumia viungo vya uzazi ni njia mojawapo ya kuamsha hisia ya kujamii ana. Kama mwanamke anatoa majimaji baada ya kugusana na uume kwenye uke, i ina maana kwamba ameshikwa na ashiki kubwa. Majimaji hayo yanarahisisha uume kupenya ukeni. Chanzo cha majimaji hayo ni vifuko maalumu vilivyomo ndani ya uke.

Je, kwa nini mwanamke akigongwa na uume kwenye uke yaani juu hutoa majimaji kupitia ukeni?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Je, ni kweli matumizi ya dawa za kulevya ni mojawapo ya sababu zinazochangia maambukizi ya virusi vya UKIMWI (VVU)
Dawa za kulevya zenyewe hazisababishi UKIMWI na magonjwa ya zinaa. Lakini utumiaji wa dawa za kul... Read More

Mama mwenye virusi vya UKIMWI na UKIMWI, anaweza kuzaa mtoto?
Na anaweza kumwambukiza mtoto aliye tumboni au wakati wa kumnyonyesha?
Ndiyo, mama mwenye vi...
Read More

Vidonge vya kuzuia mimba vinasababisha vidonda vya tumbo?
Wanawake wengine wanapata vidonda vya tumbo, lakini haya hayana uhusiano na vidonge vya kuzuia mi... Read More

Nini maana ya neno Albino?

Vidokezo vya Kufurahia Safari za Pamoja na Msichana
Kila mwanamume anapenda kukutana na msichana ambaye anaweza kuwa rafiki wa karibu na kuwa na uhus... Read More

Tofauti ya VVU na UKIMWI

Madhara ya dawa za kulevya yanadumu kwa muda gani?
Ni vigumu sana kujibu swali hili kwa sababu muda wa madhara hutegemea sababu mbalimbali kama vile... Read More

Utumiaji nguvu katika mahusiano ya ujinsia kama sehemu ya utamaduni
Utumiaji wa nguvu
katika mahusiano ya
ujinsia unavunja haki
za uzazi na haki za

Jinsi ya Kujikinga na Mimba Kwa Ufanisi
Jinsi ya Kujikinga na Mimba Kwa Ufanisi π
Karibu vijana wenzangu! Leo, tutajadili njia ... Read More

Je, baada ya kutumia vidonge au sindano kwa muda mrefu, mwamamke akiacha kuzitumia hizo njia ataweza kupata mimba tena?
Vidonge na sindano zinazuia mimba kwa kuzuia yai lisipevuke. Akitumia njia hizi za kuzuia mimba, ... Read More

Je, ni matatizo yapi yanayotokana na ujauzito katika umri mkubwa?
Kwa wanawake wenye miaka zaidi ya 35 uwezekano wa kupata matatizo ya kiafya wakati wa ujauzito au... Read More

Njia za Kujenga Ushawishi na Msichana katika Uhusiano
Leo tutazungumzia njia za kujenga ushawishi na msichana katika uhusiano. Kujenga ushawishi kunama... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!