Matumizi ya Tangawizi kutibu shinikizo la chini la damu
Date: April 10, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Hatua za kufuata
- Chukua Kijiko kikubwa kikubwa cha tangawizi mbichi iliyoparuzwa
- Changanya na Kikombe kimoja cha maji ya moto
- Chemsha katika moto kwa dakika 12 hivi
- Kisha ipua na uchuje
- Ikipoa kidogo kunywa yote,
- fanya hivi mara 2 kwa siku kila siku
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
JEE NYAMA YA NGURUWE (KITI MOTO) NI SALAMA KWA BINADAMU???
Hapa huwa kun...
Read More
Mapera ni matunda yanayo patikana kwa wingi lakini mara nyingi huwa hayapendelewi sana kutokana n...
Read More
BILA shaka ubongo ni miongoni mwa viungo muhimu vya binadamu lakini ni watu wachache sana wanaout...
Read More
πKutibu shinikizo la chini la damu kwa kutumia maji chum...
Read More
Tatizo la Mtindio wa Ubongo au Kupooza ubongo kitaalamu ni Cerebral plasy (CP), ni hali ya kupooz...
Read More
Mchanganyiko wa mdalasini na asali unasaidia katika mambo ya aiana tofauti tofauti kama ifutavto:...
Read More
Leo nimekuletea matumizi ya mbegu ya parachichi yenyewe yaani ile inayokuwa katikati ya tunda la ...
Read More
Upungufu wa maji ni pale mwili unapopoteza kiasi kingi cha maji kwa njia mbalimbali, ikiwemo jasho n...
Read More
Upungufu wa damu ni tatizo linalosababishwa na kupoteza damu nyingi, kupungua kwa uzalishaji wa chem...
Read More
Hakuna mtu anayependa kupata majeraha au kuchelewa kupona majeraha. Kwa kuwa uhai na uzima wetu h...
Read More
Ukwaju ni tunda maarufu sana ambalo hupatikana katika maeneo yenye uoto wa kitropiki. Kwa kingere...
Read More
Peasi ni tunda ambalo limekuwa halithaminiwi licha ya kuwa na faida lukuki katika mwili wa binada...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!