Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Featured Image

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti ilivo tamu unajiskia kutafuna na kuimeza hiyo simu

Akikuita tu "my love"unajiskia tu kuvua nguo mwenywe
..
hicho kiupendo ukiwa nae unajskia unaweza piga wanaume 8 kwa pamoja

Yani ile love mtashinda pamoja kutwa nzima afu usiku unakopa salio umpigie muongee

Yani yale mapenz kiasi ukiona love story za romeo na Juliet unaona hakuna wanachofanya coz mapenz yao hayafikii yenu..

ile true love akikuangalia machoni akuguse mashavu afu akwambie,"I love u"
Unajishikilia kwenye ukuta usizimie..

yani ukimfikiria unaweza kulala chini ya kitanda Ku dilute hiyo feeling coz ni too much..

Umewahi kufeel hivyo??

Kama ushawai experience hivyo?? Basi HIYO SIYO "LOVE" NI "BANGI" PLZ ACHA KUTUMIA!
#ishakua_biashara_kichaa

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Isaac Kiptoo (Guest) on June 19, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on June 2, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Joseph Kitine (Guest) on May 12, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on April 15, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Faith Kariuki (Guest) on April 9, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on March 2, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Patrick Kidata (Guest) on February 12, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on January 31, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Latifa (Guest) on January 28, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Ann Wambui (Guest) on January 27, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Fadhila (Guest) on December 10, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on December 4, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on December 2, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Fadhila (Guest) on November 14, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Diana Mallya (Guest) on November 5, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Tabitha Okumu (Guest) on November 3, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

James Kimani (Guest) on October 28, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on September 8, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on August 31, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Sultan (Guest) on August 10, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 9, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on August 8, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on August 4, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

John Malisa (Guest) on July 12, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Janet Mbithe (Guest) on June 24, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Janet Mwikali (Guest) on June 19, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Raha (Guest) on June 15, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Faiza (Guest) on May 17, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Agnes Njeri (Guest) on May 15, 2016

Asante Ackyshine

Michael Onyango (Guest) on May 6, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Peter Mugendi (Guest) on April 20, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Rose Mwinuka (Guest) on April 2, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Samuel Were (Guest) on March 31, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Catherine Mkumbo (Guest) on March 31, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Victor Kamau (Guest) on February 28, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on February 16, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Ann Wambui (Guest) on January 30, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Chris Okello (Guest) on December 9, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on December 8, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Bakari (Guest) on December 8, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Brian Karanja (Guest) on November 29, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Baraka (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Frank Sokoine (Guest) on October 12, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Henry Sokoine (Guest) on September 14, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Jane Malecela (Guest) on September 6, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Miriam Mchome (Guest) on August 23, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 1, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Benjamin Masanja (Guest) on July 23, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on July 9, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Sokoine (Guest) on June 6, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on May 25, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Janet Mwikali (Guest) on May 3, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 21, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Betty Kimaro (Guest) on April 4, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Related Posts

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More