Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?

JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.

MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?

ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.

MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.

MWAL: Na wewe James??

JAMES: mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"

Akameza mate kisha akaendelea….

"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."

MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??

JENNY: Nataka kuwa mke wa James.!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Linda Karimi (Guest) on May 7, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Fadhila (Guest) on May 6, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

George Tenga (Guest) on May 4, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on April 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on April 19, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on April 4, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on March 25, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Khatib (Guest) on February 27, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

James Kawawa (Guest) on February 21, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on February 11, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 5, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Nancy Akumu (Guest) on February 5, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Frank Sokoine (Guest) on January 26, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Ann Awino (Guest) on December 17, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Michael Mboya (Guest) on November 14, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on November 13, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on October 6, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on September 15, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on September 12, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on August 30, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Lydia Wanyama (Guest) on August 25, 2016

🀣πŸ”₯😊

Isaac Kiptoo (Guest) on August 21, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Charles Wafula (Guest) on August 13, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Daudi (Guest) on August 3, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on August 1, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Sarah Mbise (Guest) on July 25, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on July 17, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

David Sokoine (Guest) on July 12, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on July 8, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Shani (Guest) on April 10, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alex Nyamweya (Guest) on March 9, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on February 21, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mary Kidata (Guest) on February 17, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on February 3, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on January 28, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nassar (Guest) on January 13, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Monica Adhiambo (Guest) on January 8, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Joseph Njoroge (Guest) on January 7, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on December 29, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on December 28, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nyota (Guest) on December 20, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Zakaria (Guest) on November 22, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lucy Mahiga (Guest) on November 18, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Husna (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on October 18, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Josephine Nekesa (Guest) on October 8, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Lydia Wanyama (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on September 1, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwanais (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Diana Mallya (Guest) on June 19, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on June 10, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on June 10, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on June 2, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Baraka (Guest) on May 9, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Monica Adhiambo (Guest) on April 30, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Related Posts

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More