Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Featured Image

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule

3:Kama unajua kuliko mimi njoo ufundishe wewe

4:Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako

5:Hata msiponisikiliza mshahara wangu uko pale pale

6:Baba yako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo tu

7:Hata nikeshe nafundisha wengine ni mizigo hawatoki na lolote

8:Tunavisaidia tu kwan vikifanikiwa mbelen hata salam vinatoa?

9:Bichwa kubwa ubongo nukta

10:Wengine hapa wamekuja kukua tu

SHARE NA MARAFIKI ZAKO WAKUMBUKE ENZI ZA SHULE KIDOGO

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lucy Mushi (Guest) on July 25, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Irene Makena (Guest) on July 15, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on June 26, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on June 25, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Benjamin Masanja (Guest) on June 9, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Irene Akoth (Guest) on June 4, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Chiku (Guest) on May 30, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Salma (Guest) on April 21, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on April 16, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on April 12, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Warda (Guest) on March 8, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Monica Lissu (Guest) on February 7, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Victor Malima (Guest) on January 15, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on January 14, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on January 11, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

John Kamande (Guest) on January 10, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on January 8, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

David Musyoka (Guest) on January 6, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

David Kawawa (Guest) on December 16, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rashid (Guest) on December 9, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Edwin Ndambuki (Guest) on December 1, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Michael Onyango (Guest) on November 15, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on October 25, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Zulekha (Guest) on October 19, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mariam Hassan (Guest) on September 22, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Amir (Guest) on August 13, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Henry Mollel (Guest) on July 28, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rose Amukowa (Guest) on July 22, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on June 22, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Shani (Guest) on June 11, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Mutheu (Guest) on June 4, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on May 26, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on May 7, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on May 6, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Nora Kidata (Guest) on May 4, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on April 10, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on April 7, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Edward Lowassa (Guest) on April 5, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Zainab (Guest) on March 27, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Mchome (Guest) on March 26, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Charles Mboje (Guest) on March 24, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sharon Kibiru (Guest) on March 14, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on March 10, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Grace Majaliwa (Guest) on February 10, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on December 19, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Fredrick Mutiso (Guest) on December 6, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on October 28, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Salum (Guest) on October 10, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Jane Muthoni (Guest) on October 6, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Edwin Ndambuki (Guest) on September 20, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on September 1, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

George Tenga (Guest) on August 22, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Mwikali (Guest) on July 31, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Lucy Mahiga (Guest) on July 24, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on June 6, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on April 23, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on April 1, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More