Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hii ndiyo bongo sasa!!

Featured Image

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya.

MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi….kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic .

BINTI: Mi naitaka hii

MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe lazima upate gari uloichagua mwenyewe. Mzee akatoa kitabu cha cheki na kuandika palepale na kumpa mwenye yard

MUUZAJI: Sasa Mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari utakuja chukua Jumatatu tukishahakikisha kuwa Account yako ina pesa benki. Naomba namba yako ya simu Mzee

MZEE: Hakuna tatizo (akampa namba). Haya twende zetu sweetie Jumatatu tunakuja wote kuchukua gari lako…

Siku ya Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.

MUUZAJI: We Mzee kavu sana, akaunti yako haina hata senti tano.

MZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.

πŸ’¦πŸ˜†πŸ’¦

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kawawa (Guest) on January 25, 2018

Asante Ackyshine

Andrew Mchome (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Francis Mtangi (Guest) on November 17, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on November 11, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on November 1, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Charles Mchome (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Andrew Mahiga (Guest) on October 7, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Abdillah (Guest) on September 16, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

George Ndungu (Guest) on September 5, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on August 29, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Violet Mumo (Guest) on August 27, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on August 19, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on August 14, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Josephine (Guest) on August 1, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Kawawa (Guest) on June 12, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Ramadhan (Guest) on June 8, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Kikwete (Guest) on May 28, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mazrui (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Peter Mbise (Guest) on April 17, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on April 10, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

John Lissu (Guest) on March 23, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Mwanaisha (Guest) on March 18, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Jackson Makori (Guest) on February 26, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Edward Lowassa (Guest) on February 15, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Lucy Mushi (Guest) on January 21, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Sarah Mbise (Guest) on January 18, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on January 3, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on December 19, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Ann Awino (Guest) on December 4, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on November 8, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Moses Mwita (Guest) on October 26, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Catherine Mkumbo (Guest) on October 18, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

James Kimani (Guest) on September 3, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on August 22, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on August 17, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on August 12, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on August 12, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on July 10, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mhina (Guest) on July 9, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Kiwanga (Guest) on June 14, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Edith Cherotich (Guest) on June 14, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Sekela (Guest) on May 30, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Michael Onyango (Guest) on April 8, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on March 25, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Yahya (Guest) on March 16, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Andrew Mchome (Guest) on February 12, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Charles Mrope (Guest) on January 29, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Maida (Guest) on January 22, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jane Malecela (Guest) on January 17, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Patrick Akech (Guest) on December 15, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Yahya (Guest) on November 27, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Agnes Lowassa (Guest) on November 18, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Philip Nyaga (Guest) on November 18, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Tenga (Guest) on September 27, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Michael Onyango (Guest) on August 27, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Andrew Mahiga (Guest) on August 25, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on August 23, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Tabu (Guest) on August 22, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Related Posts

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More