Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Otieno (Guest) on July 31, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Susan Wangari (Guest) on July 18, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! 😂

Fredrick Mutiso (Guest) on July 10, 2017

Kweli mna ucheshi! 😂🤣

Peter Mugendi (Guest) on June 30, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! 😆👌

Janet Sumari (Guest) on June 21, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! 🏆

Diana Mallya (Guest) on May 19, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣

George Wanjala (Guest) on May 11, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! 😆

Lucy Mahiga (Guest) on April 1, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! 😊😂

Anna Mchome (Guest) on March 20, 2017

😂 Nalia kwa kweli hapa!

Agnes Sumaye (Guest) on February 6, 2017

😅 Bado nacheka!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 18, 2017

Nimefurahia sana hii joke! 😅😂

Edith Cherotich (Guest) on January 5, 2017

🤣🤣👏😆

Maulid (Guest) on December 22, 2016

😅 Nilihitaji hii!

Monica Lissu (Guest) on November 24, 2016

😂 Ninashiriki mara moja!

David Nyerere (Guest) on November 11, 2016

😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Maulid (Guest) on October 22, 2016

😄 Kichekesho gani!

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 16, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂

Margaret Mahiga (Guest) on August 31, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅

Khadija (Guest) on August 16, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Baraka (Guest) on July 25, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Jaffar (Guest) on June 30, 2016

😆 Ninacheka sana sasa hivi!

Linda Karimi (Guest) on June 27, 2016

🤣🤣😂

Rubea (Guest) on May 24, 2016

😆 Kali sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 10, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Paul Ndomba (Guest) on March 13, 2016

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Michael Onyango (Guest) on March 6, 2016

Hii ni ya maana sana! 😂👌

Michael Mboya (Guest) on March 3, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😂😅

Michael Mboya (Guest) on March 2, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂

Margaret Mahiga (Guest) on February 20, 2016

😄 Kichekesho kamili!

Nancy Kawawa (Guest) on February 11, 2016

Hii imenifurahisha sana! 😊😅

Mariam Hassan (Guest) on January 31, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! 👏😆

Anna Malela (Guest) on January 28, 2016

Hii imenifurahisha kweli! 😆😂

Janet Sumaye (Guest) on January 5, 2016

Asante Ackyshine

Janet Mbithe (Guest) on December 9, 2015

Hii ni joke ya kipekee! 🤣👌

Stephen Malecela (Guest) on December 6, 2015

😄 Umenishika vizuri!

Jamila (Guest) on November 17, 2015

🤣 Nalia kwa kicheko kweli!

Paul Ndomba (Guest) on November 3, 2015

🤣😆😊😂

Nassor (Guest) on November 2, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂

Ramadhan (Guest) on November 1, 2015

🤣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Peter Mugendi (Guest) on October 26, 2015

😆😂👏

Miriam Mchome (Guest) on October 11, 2015

😅😊😂👏

Kheri (Guest) on September 4, 2015

😆 Naihifadhi hii!

Grace Wairimu (Guest) on September 2, 2015

😂 Hii ni kali sana!

Janet Mwikali (Guest) on July 15, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊

Mary Kendi (Guest) on July 13, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! 😊😂

Stephen Kangethe (Guest) on July 1, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! 😆

Frank Sokoine (Guest) on June 23, 2015

Mna talent ya jokes! 👏😂

George Mallya (Guest) on June 15, 2015

🤣🔥😊

David Sokoine (Guest) on June 1, 2015

😂 Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anna Mahiga (Guest) on May 16, 2015

🤣👍👌

Esther Cheruiyot (Guest) on May 6, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😅

Martin Otieno (Guest) on April 29, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Janet Wambura (Guest) on April 22, 2015

🤣😄😊

Bakari (Guest) on April 21, 2015

😃 Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Chiku (Guest) on April 12, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! 📌

Francis Mtangi (Guest) on April 8, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! 😊😆

Related Posts

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. Akanijibu Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? 🐓👉🏽... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More