Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, lakini mara zote nimekua nikitumia kinga. Inawezekanaje hii?

DAKTARI:Β Ngoja nikusimulie hadithi. Kulikua na Muindaji ambaye alikua anabeba bunduki kila aendako. Siku moja, alichukua mwamvuli badala ya bunduki na akaenda nayo. Ghafla akatokea Simba mbele yake. Ili amtishie Simba, muindaji akatumia mwamvuli na kummiminia risasi Simba. Simba akafa palepale!
MVULANA:Β Sio kweli!! Lazima kulikua na mtu mwengine pembeni aliyempiga risasi Simba.

DAKTARI:Β Nashukuru umeelewa somo!!πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

David Ochieng (Guest) on August 12, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Leila (Guest) on July 30, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Rose Lowassa (Guest) on July 17, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on May 28, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on May 20, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

John Kamande (Guest) on May 19, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Diana Mumbua (Guest) on May 12, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Sharifa (Guest) on May 2, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Peter Mbise (Guest) on April 26, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on April 16, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on March 29, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on March 17, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Aziza (Guest) on March 13, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Hellen Nduta (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Victor Kimario (Guest) on January 23, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on January 13, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on December 23, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Diana Mallya (Guest) on December 9, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Paul Kamau (Guest) on December 1, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Janet Mwikali (Guest) on November 25, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Rose Lowassa (Guest) on November 4, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Tambwe (Guest) on November 3, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Kevin Maina (Guest) on October 21, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Anna Kibwana (Guest) on October 6, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Esther Cheruiyot (Guest) on September 25, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on September 18, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on August 24, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on July 18, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Farida (Guest) on June 16, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Joy Wacera (Guest) on June 16, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Farida (Guest) on April 10, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Patrick Akech (Guest) on March 29, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Stephen Kikwete (Guest) on March 3, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Grace Minja (Guest) on February 26, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on February 22, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Josephine Nduta (Guest) on February 20, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

John Lissu (Guest) on February 16, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on February 4, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on December 13, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

David Ochieng (Guest) on November 27, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on November 19, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on October 16, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Patrick Kidata (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

George Mallya (Guest) on August 20, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Janet Mbithe (Guest) on August 16, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on August 14, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Rehema (Guest) on August 11, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ruth Mtangi (Guest) on July 10, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on June 17, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on June 17, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Irene Makena (Guest) on May 8, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Faiza (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

James Kawawa (Guest) on April 27, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on April 2, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Related Posts

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More