Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Featured Image
Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ilikuwa kwenye shelf ya chini, wakati anainama apate kuitazama vizuri kwa bahati mbaya (au nzuri!), shuzi likamtoka- druuuuuu, soni ikamuingia huku akigeuka haraka kuangalia kama kuna yeyote dukani pale ameliskia shuzi lake, macho yakagongana na mwenye duka ambaye alikuwa karibu huku uso ukiwa umejaa tabasamu zito, mwana mama hakuwa na uhakika kama amesikika au hakusikika, akaona atumie nafasi ile kuyeyusha…Akauliza "Hii pete bei gani?" . Jamaa mwenye duka, huku akiangua kicheko, akajibu "Umeiona tu umejamba, je nikikuambia bei yake si utakunya kabisa?"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nuru (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on October 10, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Irene Akoth (Guest) on August 16, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on June 24, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Irene Akoth (Guest) on June 4, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on May 10, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Maimuna (Guest) on April 28, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Peter Mwambui (Guest) on March 28, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Kevin Maina (Guest) on March 27, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Margaret Anyango (Guest) on March 9, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on March 2, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Monica Nyalandu (Guest) on February 22, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mgeni (Guest) on February 18, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mary Mrope (Guest) on January 20, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Andrew Odhiambo (Guest) on January 18, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mgeni (Guest) on January 13, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Samuel Omondi (Guest) on January 3, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Thomas Mtaki (Guest) on December 24, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on December 19, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Sarah Mbise (Guest) on December 9, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on November 23, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on November 21, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Irene Makena (Guest) on November 6, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on November 3, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 20, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on August 29, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Agnes Njeri (Guest) on August 27, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on August 20, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

John Malisa (Guest) on August 9, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Rose Lowassa (Guest) on August 8, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jamal (Guest) on July 11, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on May 27, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on May 8, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on May 7, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on May 4, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 4, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joseph Njoroge (Guest) on March 22, 2016

🀣πŸ”₯😊

Stephen Amollo (Guest) on March 20, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on February 8, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on January 3, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on December 13, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on November 19, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Grace Majaliwa (Guest) on November 8, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joyce Mussa (Guest) on October 20, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

David Nyerere (Guest) on October 18, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Peter Otieno (Guest) on September 13, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on August 14, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mwachumu (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 23, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Violet Mumo (Guest) on July 22, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mariam Kawawa (Guest) on July 4, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on July 3, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Issack (Guest) on June 30, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Kazija (Guest) on June 15, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sekela (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ann Wambui (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Related Posts

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More