Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Featured Image
Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhudumu akaja,

Mhudumu: kaka nikuhudumie nini,
Jamaa: afathal NILETEE MENU LISTI
Mhudumu: dada na wewe?
Demu akajibu kwa pozi tena kwakujishaua, "NA MIMI NILETEE MENU LIST ILA USIWEKE CHUMVI NYINGI"
Chezea mbulula wewe…!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Chiku (Guest) on August 24, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Stephen Mushi (Guest) on August 17, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Joy Wacera (Guest) on July 9, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on July 8, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on July 5, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on June 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on June 8, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on June 7, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Bernard Oduor (Guest) on May 10, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on May 5, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Patrick Kidata (Guest) on April 16, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on March 26, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on February 22, 2017

😊🀣πŸ”₯

Halima (Guest) on February 19, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Maida (Guest) on February 5, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Diana Mumbua (Guest) on January 14, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Kamau (Guest) on January 6, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mazrui (Guest) on November 23, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 12, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Shabani (Guest) on November 11, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Josephine Nekesa (Guest) on October 19, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Victor Kimario (Guest) on October 5, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Joy Wacera (Guest) on August 27, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Patrick Kidata (Guest) on August 4, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on July 13, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Edward Chepkoech (Guest) on July 5, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on June 30, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Margaret Mahiga (Guest) on May 31, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Moses Kipkemboi (Guest) on May 31, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Charles Wafula (Guest) on May 16, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Kidata (Guest) on May 7, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 22, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mwajuma (Guest) on April 19, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

David Sokoine (Guest) on April 3, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kidata (Guest) on March 28, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on March 28, 2016

πŸ˜† Kali sana!

George Tenga (Guest) on March 22, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Amani (Guest) on March 21, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Charles Wafula (Guest) on March 2, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Mary Kidata (Guest) on February 13, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on January 21, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on January 18, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Sharon Kibiru (Guest) on January 10, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on December 23, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on December 23, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Edwin Ndambuki (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Samuel Were (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Patrick Mutua (Guest) on October 7, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on September 9, 2015

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Amina (Guest) on August 12, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Sultan (Guest) on July 27, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

David Ochieng (Guest) on July 12, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Maneno (Guest) on June 26, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Charles Mchome (Guest) on June 6, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on May 25, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Charles Mboje (Guest) on May 1, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Related Posts

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More