Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image

Siku moja katika pitapita zangu nikakutana na mtoto mmoja mkali balaa yaani ni mzuri sanaaaa, moyo ukanituma nimuimbishe mtoto akakubali kwamba nitafute siku tukae tuongee vizuri akasema nimpe namba yangu ya simu.

Β 

Ebwana si akatoa simu hiyo inauzwa laki sita mimi hapa nina kisimu cha tochi tena nimefunga na rababendi
Je, wewe ungeendelea kumtajia namba zako!!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Kiwanga (Guest) on September 3, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Charles Mboje (Guest) on August 13, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 11, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Benjamin Kibicho (Guest) on August 8, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Issa (Guest) on July 9, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Victor Kamau (Guest) on June 17, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on May 31, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Khamis (Guest) on May 27, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Nancy Kabura (Guest) on April 22, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Andrew Odhiambo (Guest) on April 14, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on March 14, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on February 10, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on January 17, 2017

🀣πŸ”₯😊

Alice Mwikali (Guest) on December 24, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on December 4, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Nchi (Guest) on November 24, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Aziza (Guest) on November 24, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Mariam Kawawa (Guest) on October 29, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on August 28, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Mwikali (Guest) on July 25, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Tambwe (Guest) on July 12, 2016

Asante Ackyshine

Rose Mwinuka (Guest) on June 15, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Hashim (Guest) on May 18, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

James Mduma (Guest) on May 9, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on May 8, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Paul Kamau (Guest) on May 4, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on April 29, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on April 27, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Patrick Akech (Guest) on April 23, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Sarah Karani (Guest) on April 1, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 29, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on March 26, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Halima (Guest) on February 25, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Grace Mushi (Guest) on February 16, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on February 11, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

James Malima (Guest) on January 24, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Stephen Kangethe (Guest) on January 19, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Shabani (Guest) on January 15, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Raphael Okoth (Guest) on January 6, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

David Musyoka (Guest) on January 3, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Esther Cheruiyot (Guest) on January 1, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Agnes Sumaye (Guest) on December 13, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on December 7, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Sarah Karani (Guest) on November 25, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Edward Lowassa (Guest) on November 4, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Majaliwa (Guest) on October 25, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

James Kawawa (Guest) on September 23, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Amina (Guest) on September 7, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Margaret Anyango (Guest) on August 18, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Margaret Mahiga (Guest) on August 18, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on July 22, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on July 7, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Betty Akinyi (Guest) on June 25, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mary Mrope (Guest) on June 6, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sekela (Guest) on June 5, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Nora Kidata (Guest) on May 25, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Esther Cheruiyot (Guest) on April 13, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Related Posts

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More