Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Featured Image

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasimama katikati ya Gari-Akasema; "Jamani Naomba Aliyeniibia Pesa yangu Arudishe Haraka,
Tena Fasta kabla Sijafanya Tukio kama Nililofanya 1977"
Abiria kuskia hivyo wakaogopa.
Ikabidi Mwizi Ajitokeze,
Akarudisha Pesa na Kuomba Msamaha! Mtu Mmoja akauliza,
Mzee,
Kwani 1977 Ulifanya nn?
Si nilienda kwa Miguu mpaka Nyumbani!
Uscheke Peke Yako, wa2mie na wengine ili nao wacheke!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Mwalimu (Guest) on April 11, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on April 10, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mgeni (Guest) on March 18, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mariam (Guest) on March 7, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Issack (Guest) on February 27, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 12, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Dorothy Nkya (Guest) on January 20, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Yusra (Guest) on December 29, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Elijah Mutua (Guest) on December 6, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on November 30, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on October 30, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Peter Mwambui (Guest) on October 21, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Hawa (Guest) on September 29, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Elijah Mutua (Guest) on September 7, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on September 1, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on July 23, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Victor Mwalimu (Guest) on June 11, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on May 10, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on May 4, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jamila (Guest) on April 20, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nancy Kabura (Guest) on April 15, 2016

Asante Ackyshine

Edward Chepkoech (Guest) on April 4, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Zakia (Guest) on March 30, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

James Malima (Guest) on March 30, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Elijah Mutua (Guest) on March 1, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on February 29, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Wande (Guest) on February 24, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Jamal (Guest) on February 24, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Hellen Nduta (Guest) on February 23, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Saidi (Guest) on February 22, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Monica Lissu (Guest) on February 16, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Hekima (Guest) on February 9, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

George Mallya (Guest) on January 31, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nancy Akumu (Guest) on January 24, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on January 23, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Emily Chepngeno (Guest) on October 5, 2015

🀣πŸ”₯😊

Christopher Oloo (Guest) on October 5, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edwin Ndambuki (Guest) on September 18, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on September 6, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on August 20, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on August 20, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Hawa (Guest) on August 16, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Diana Mumbua (Guest) on August 12, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Sarafina (Guest) on July 31, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

David Sokoine (Guest) on June 28, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Furaha (Guest) on June 14, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Carol Nyakio (Guest) on June 11, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on June 10, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on June 8, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on May 28, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on May 21, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Miriam Mchome (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Violet Mumo (Guest) on May 1, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on April 3, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on April 2, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More