Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Featured Image

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyumba ya pili toka kwake. Siku ya 1 kalala asubuhi alipoamka kachungulia kwake kukoje,

Si kamuona jamaa yuko nje ya nyumba yake kavaa taulo lake anapiga mswaki. Akapiga kelele, 'We nani?', Jamaa akajibu, 'Mshikaji mambo ya mjini, mume wa huyu demu kasafiri kaenda Songea mi ndo najivinjari hapa'. Mume kajibu kwa uchungu, Shenzi mkubwa, ngoja nirudi toka Songea nakuua.πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

*Mniache mimi sipendi Ujinga Ujinga πŸƒοΏ½πŸƒοΏ½πŸƒοΏ½πŸƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Grace Minja (Guest) on May 15, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Ruth Mtangi (Guest) on May 13, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on April 24, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Zakia (Guest) on April 22, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Jabir (Guest) on April 13, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Baridi (Guest) on April 1, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Grace Mligo (Guest) on February 16, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on January 27, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Moses Kipkemboi (Guest) on January 4, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on December 17, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on December 2, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Francis Njeru (Guest) on November 30, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on November 25, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on November 24, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on November 21, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Binti (Guest) on November 19, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nora Kidata (Guest) on November 4, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Raphael Okoth (Guest) on September 17, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Monica Nyalandu (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Kenneth Murithi (Guest) on August 16, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Binti (Guest) on July 28, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Raphael Okoth (Guest) on July 20, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on July 17, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Sharon Kibiru (Guest) on July 15, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

James Mduma (Guest) on July 12, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Jane Malecela (Guest) on July 4, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Asha (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Paul Kamau (Guest) on June 7, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Jane Malecela (Guest) on May 19, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on May 6, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Nashon (Guest) on April 30, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Leila (Guest) on April 13, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lucy Mushi (Guest) on March 31, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Nora Lowassa (Guest) on March 26, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on March 13, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on February 28, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Kevin Maina (Guest) on February 22, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Benjamin Masanja (Guest) on January 8, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on January 8, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on December 9, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Mary Sokoine (Guest) on November 7, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

John Mushi (Guest) on November 3, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on November 2, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on October 27, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Warda (Guest) on October 20, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Bakari (Guest) on September 19, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joseph Kiwanga (Guest) on August 21, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on July 23, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Ndungu (Guest) on July 10, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on July 6, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sumaya (Guest) on July 5, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Ruth Mtangi (Guest) on June 3, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on May 26, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Hawa (Guest) on May 22, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Husna (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Kidata (Guest) on April 13, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Related Posts

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More