Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Featured Image

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofika akasema, "naomba leseni yako."
Mama akasachi mkoba Wake akatoa kioo kidogo cha kujtazama akampatia! Trafik akakiangalia kwa dakika 2
Akasema sasa si ungesema kama wewe ni trafik mwenzangu!
Haya nenda
Ulevi sio mzuri
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Malela (Guest) on July 20, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on July 17, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Musyoka (Guest) on June 26, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

David Sokoine (Guest) on June 24, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Jamal (Guest) on June 24, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 15, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on June 14, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Ruth Kibona (Guest) on June 10, 2017

🀣πŸ”₯😊

Jane Malecela (Guest) on May 12, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maimuna (Guest) on March 30, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Selemani (Guest) on February 7, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Tabitha Okumu (Guest) on January 28, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Maulid (Guest) on January 5, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

George Wanjala (Guest) on December 16, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Josephine Nduta (Guest) on December 16, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 2, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on November 22, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on November 13, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nassor (Guest) on November 8, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Diana Mumbua (Guest) on November 7, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Agnes Lowassa (Guest) on October 14, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Betty Cheruiyot (Guest) on September 15, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Binti (Guest) on September 4, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Robert Okello (Guest) on September 3, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Catherine Mkumbo (Guest) on September 3, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

George Mallya (Guest) on August 21, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on August 20, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on July 26, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Neema (Guest) on July 23, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nora Kidata (Guest) on July 9, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwafirika (Guest) on June 2, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Mligo (Guest) on June 1, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on May 11, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Janet Sumaye (Guest) on May 4, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Brian Karanja (Guest) on April 27, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mwanaidha (Guest) on March 7, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on February 14, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on February 12, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Betty Akinyi (Guest) on January 26, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on January 23, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Warda (Guest) on December 17, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Sharon Kibiru (Guest) on December 15, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mwinyi (Guest) on November 3, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Monica Nyalandu (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Anthony Kariuki (Guest) on September 22, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Aziza (Guest) on September 17, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwanahawa (Guest) on September 9, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Francis Njeru (Guest) on August 19, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Salima (Guest) on August 16, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Zuhura (Guest) on July 29, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

George Tenga (Guest) on July 17, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Charles Mrope (Guest) on July 11, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on June 6, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Raha (Guest) on June 2, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

John Lissu (Guest) on April 25, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on April 25, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on April 3, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Related Posts

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More