Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimu….kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

David Musyoka (Guest) on November 15, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mariam (Guest) on November 9, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Alice Mwikali (Guest) on October 24, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Benjamin Kibicho (Guest) on October 16, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Jackson Makori (Guest) on August 23, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Chum (Guest) on June 18, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mwachumu (Guest) on May 23, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Francis Njeru (Guest) on April 28, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Alice Mwikali (Guest) on April 13, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on March 28, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 25, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Betty Akinyi (Guest) on March 9, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on March 8, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Agnes Njeri (Guest) on February 23, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on January 19, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on January 10, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Sumari (Guest) on December 12, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on November 24, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on November 15, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Lydia Mutheu (Guest) on September 29, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Michael Onyango (Guest) on September 8, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nchi (Guest) on September 1, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Irene Akoth (Guest) on August 5, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on August 2, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mariam Hassan (Guest) on July 19, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

John Kamande (Guest) on July 6, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on June 29, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Robert Ndunguru (Guest) on June 21, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on June 21, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mustafa (Guest) on June 19, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Henry Mollel (Guest) on June 7, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mwajabu (Guest) on June 6, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Linda Karimi (Guest) on June 5, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on April 29, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on April 21, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Khalifa (Guest) on March 28, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Hamida (Guest) on March 25, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on February 6, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Esther Nyambura (Guest) on January 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on January 9, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on December 30, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on December 8, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Shukuru (Guest) on November 18, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Margaret Anyango (Guest) on November 12, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on October 20, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

John Mwangi (Guest) on October 1, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on September 21, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Khadija (Guest) on September 16, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Mary Sokoine (Guest) on September 8, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on August 19, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Kazija (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

George Wanjala (Guest) on July 25, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on July 15, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Rashid (Guest) on June 19, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Edwin Ndambuki (Guest) on May 12, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Mutua (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

George Wanjala (Guest) on April 21, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More