Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Featured Image

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
lazima awe na picha passport size 4 kwaajili ya kuweka profile picture, barua kutoka kwa afisa mtendaji na Atm card ya nmb bank. Alafu awe na marefa wanne ambao wamekuwa facebook for more than 3 years. Amesema
hataki tena kujiunga fb!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Saa ivi niko zangu nimelala naendelea kupunguza uchovu

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Stephen Malecela (Guest) on May 7, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Andrew Mahiga (Guest) on April 28, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Ramadhan (Guest) on April 18, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mary Kendi (Guest) on April 12, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on April 10, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Salum (Guest) on March 23, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Elizabeth Mtei (Guest) on March 10, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on February 28, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Wilson Ombati (Guest) on February 6, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Alice Wanjiru (Guest) on February 1, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Yahya (Guest) on January 15, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Charles Mboje (Guest) on January 5, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Monica Adhiambo (Guest) on January 3, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Yusra (Guest) on December 27, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Jane Muthoni (Guest) on December 24, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Masika (Guest) on December 21, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Victor Malima (Guest) on November 16, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Diana Mallya (Guest) on November 10, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Zulekha (Guest) on September 28, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Masika (Guest) on September 20, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Andrew Odhiambo (Guest) on September 1, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rukia (Guest) on August 3, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mazrui (Guest) on July 30, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Rashid (Guest) on July 29, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

James Mduma (Guest) on July 22, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on July 2, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samuel Omondi (Guest) on June 28, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Jacob Kiplangat (Guest) on June 8, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on April 29, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Samuel Were (Guest) on April 18, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Violet Mumo (Guest) on March 28, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Samuel Omondi (Guest) on March 28, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mary Mrope (Guest) on March 7, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Margaret Anyango (Guest) on March 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on January 23, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Ann Awino (Guest) on December 13, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

David Kawawa (Guest) on December 7, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on December 6, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rubea (Guest) on November 30, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Betty Kimaro (Guest) on November 19, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

George Mallya (Guest) on October 4, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Arifa (Guest) on September 15, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Ali (Guest) on August 5, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Anthony Kariuki (Guest) on July 23, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Ochieng (Guest) on July 22, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

George Tenga (Guest) on July 21, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on July 16, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on July 3, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Kheri (Guest) on June 13, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Agnes Njeri (Guest) on June 6, 2015

Asante Ackyshine

Grace Majaliwa (Guest) on May 29, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on May 26, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on May 5, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Agnes Njeri (Guest) on April 14, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Charles Mboje (Guest) on April 12, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Related Posts

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More