Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki hawa wachungaji

Featured Image

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana.

MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za sadaka.

WA PILI: Mimi tatizo langu ni wanawake yani nimeshalala na wana kwaya wote pamoja na mke wa ASKOF.

WA TATU akaanza kulia badala ya kuongea.WENZAKE:

We vp unatatizo gani mbona unalia???

AKAJIBU: jamani mimi tatizo langu ni "umbea" haya yote tuliyoongea lazima nikaseme!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

George Tenga (Guest) on September 11, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on August 24, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Ann Wambui (Guest) on August 16, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Frank Macha (Guest) on July 17, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on July 6, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on June 6, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Janet Mbithe (Guest) on May 30, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Christopher Oloo (Guest) on May 16, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Ibrahim (Guest) on April 24, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Zakia (Guest) on April 19, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Amir (Guest) on March 25, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Salima (Guest) on February 26, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Faiza (Guest) on February 14, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mwagonda (Guest) on February 13, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

George Wanjala (Guest) on February 7, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on January 15, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Mchome (Guest) on January 10, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on January 4, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Habiba (Guest) on December 6, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mjaka (Guest) on December 5, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on November 29, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

David Kawawa (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Chris Okello (Guest) on October 25, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Esther Nyambura (Guest) on August 30, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 23, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on August 15, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Lydia Mutheu (Guest) on August 1, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on August 1, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on June 2, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Agnes Njeri (Guest) on May 24, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Bakari (Guest) on May 15, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Frank Sokoine (Guest) on April 22, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on April 18, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Mahiga (Guest) on March 8, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Sarah Karani (Guest) on February 15, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 31, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Kijakazi (Guest) on January 8, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on November 26, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on October 31, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 20, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zulekha (Guest) on October 15, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Lucy Kimotho (Guest) on October 9, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Victor Kimario (Guest) on September 6, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Elizabeth Malima (Guest) on August 21, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on August 9, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Isaac Kiptoo (Guest) on August 7, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on July 1, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on June 14, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 30, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on May 14, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Moses Kipkemboi (Guest) on May 13, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on May 9, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Edward Lowassa (Guest) on April 27, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Janet Sumari (Guest) on April 19, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More