Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mke ni shida!

Featured Image

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumbani kwangu, mara hoo watoto wangu. Sisi ni mke na mume, kila kitu ni chetu. Jirekebishe bwana".πŸ‘΄πŸ˜ŽπŸ˜ŽπŸ˜’
MKE: Yuko kimya anaendelea na shughuli zake za kupekua kabatini kama hasikii, na hakumjibu kitu mumewe.πŸ‘΅πŸ˜·
MUME: Akamuuliza kwa hamaki,"Sasa hapo unatafuta nini?".πŸ‘΄πŸ˜‘
MKE: "Sidiria yetu!!"πŸ‘™πŸ’
MUME: (kamfungia kabatini alafu kamwambia. "nipo chumbani , ")πŸ‘΄πŸ˜·πŸ˜·
πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jane Malecela (Guest) on May 5, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mwanahawa (Guest) on April 25, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Monica Nyalandu (Guest) on April 3, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on March 27, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

John Lissu (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on February 9, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Samuel Omondi (Guest) on January 14, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on December 17, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Nashon (Guest) on December 3, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rubea (Guest) on November 12, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Hashim (Guest) on October 15, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Abubakar (Guest) on October 7, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Lydia Mutheu (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Tambwe (Guest) on October 4, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Leila (Guest) on September 14, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on September 5, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on August 16, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Minja (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on August 15, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Charles Mrope (Guest) on August 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on July 27, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on July 2, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Tabu (Guest) on June 10, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Jane Muthui (Guest) on May 16, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

George Wanjala (Guest) on May 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on May 1, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Catherine Mkumbo (Guest) on April 30, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on April 10, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on April 6, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Ali (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Ruth Mtangi (Guest) on April 2, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Monica Nyalandu (Guest) on March 8, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

John Lissu (Guest) on January 24, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on December 28, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

George Wanjala (Guest) on December 19, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Elijah Mutua (Guest) on December 14, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Joy Wacera (Guest) on November 24, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on November 24, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

David Chacha (Guest) on November 4, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Benjamin Kibicho (Guest) on October 12, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Elizabeth Mrope (Guest) on October 4, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Moses Mwita (Guest) on September 28, 2015

😊🀣πŸ”₯

Rose Kiwanga (Guest) on September 21, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on September 10, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on August 28, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on August 12, 2015

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Hashim (Guest) on August 11, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Linda Karimi (Guest) on August 9, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 14, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Mugendi (Guest) on July 12, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Robert Ndunguru (Guest) on July 10, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Rose Mwinuka (Guest) on July 4, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on July 1, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Lucy Mahiga (Guest) on April 26, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Sultan (Guest) on April 21, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mariam Hassan (Guest) on April 10, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Related Posts

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More