Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Featured Image

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio kwani vp?

Mbona hatuoni matunda yake?

Kwani mi nlienda na miche ya mipapai au miembe au umeambiwa TIA, IFM na IAA wanakodisha Mashamba ya nyanya ????????

Hamna sio hvyo umeenda mbali kaka

Kama kilomita ngapi?

Haya yaishe bhana…

Ukome kwa kiherehere

Nitukane tuu unakumbuka kuna SKU nlkupa buku ya nauli?

Nitajie namba yako ya tgo pesa nkuwekee hyo buku

Kwani mi nimesema unilipe

Utajua mwenyewe ila nakutumia kwenye namba uliyonitext wee si umefanya ujinga mi nafanya upumbavu

Simple lyke dat Viherehere huwa tunawajbu HVOβ€¦β€¦πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jackson Makori (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

Lucy Kimotho (Guest) on May 30, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 18, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on April 26, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on March 30, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on March 13, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Leila (Guest) on March 6, 2017

Asante Ackyshine

Mary Kendi (Guest) on December 28, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on December 6, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on December 5, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Aziza (Guest) on November 20, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Bernard Oduor (Guest) on November 18, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Latifa (Guest) on October 1, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ibrahim (Guest) on September 30, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Grace Wairimu (Guest) on September 28, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Shukuru (Guest) on September 23, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joy Wacera (Guest) on September 22, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Mwalimu (Guest) on September 9, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on July 9, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Isaac Kiptoo (Guest) on July 7, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Janet Mwikali (Guest) on July 5, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Fredrick Mutiso (Guest) on June 19, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on June 5, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Edward Lowassa (Guest) on June 5, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Chum (Guest) on April 28, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Victor Kimario (Guest) on April 18, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Amani (Guest) on March 31, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mtumwa (Guest) on March 16, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Stephen Mushi (Guest) on March 1, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 28, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Victor Malima (Guest) on February 26, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on February 20, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

David Musyoka (Guest) on January 31, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

David Nyerere (Guest) on January 28, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Onyango (Guest) on January 27, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on January 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on January 11, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on January 11, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Agnes Njeri (Guest) on January 6, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Brian Karanja (Guest) on December 7, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on November 30, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Alice Mwikali (Guest) on November 7, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Okello (Guest) on October 21, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Victor Sokoine (Guest) on October 3, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mercy Atieno (Guest) on August 25, 2015

🀣πŸ”₯😊

Rose Kiwanga (Guest) on August 21, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on August 21, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Catherine Naliaka (Guest) on August 18, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 4, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on June 30, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Masika (Guest) on May 29, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Faith Kariuki (Guest) on May 23, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Warda (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Joseph Kawawa (Guest) on April 17, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Anna Sumari (Guest) on April 16, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on April 14, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 2, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Related Posts

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More