Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Fikiri (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Jane Muthoni (Guest) on April 18, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Patrick Kidata (Guest) on April 12, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on March 23, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Victor Mwalimu (Guest) on March 11, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Michael Mboya (Guest) on February 23, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Janet Sumari (Guest) on February 21, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Janet Sumari (Guest) on February 6, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

James Malima (Guest) on January 12, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Ruth Wanjiku (Guest) on January 3, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on December 29, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joyce Mussa (Guest) on December 28, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Mgeni (Guest) on December 14, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mariam Kawawa (Guest) on December 13, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Chiku (Guest) on December 8, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Vincent Mwangangi (Guest) on December 7, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Irene Makena (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

John Lissu (Guest) on November 17, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Khadija (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Joy Wacera (Guest) on October 21, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on September 27, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Ibrahim (Guest) on August 14, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

David Musyoka (Guest) on August 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mahiga (Guest) on August 4, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on July 29, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Chum (Guest) on July 26, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Joseph Kawawa (Guest) on June 22, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Issa (Guest) on June 11, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Paul Ndomba (Guest) on May 8, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on March 18, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Kijakazi (Guest) on March 18, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lydia Mutheu (Guest) on February 7, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Michael Mboya (Guest) on January 27, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on January 23, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Edith Cherotich (Guest) on December 24, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Shamsa (Guest) on December 21, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nyota (Guest) on December 17, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Grace Njuguna (Guest) on December 2, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Kijakazi (Guest) on November 22, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Sarafina (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Monica Lissu (Guest) on November 8, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on October 26, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Benjamin Kibicho (Guest) on October 22, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on September 7, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Abdillah (Guest) on August 28, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Kamau (Guest) on August 11, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Baraka (Guest) on August 10, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanakhamis (Guest) on August 10, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Shukuru (Guest) on August 5, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on July 17, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Mahiga (Guest) on June 30, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sekela (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Dorothy Nkya (Guest) on May 29, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on May 6, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on April 22, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Related Posts

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More