Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Featured Image
Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae
akamwambia kwa ukali
"Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo
zako na……..

Kabla hajamalizia sentensi simu
ya mkewe ikaita, kumbe alikuwa ni baba yake.
Basi mzee akaanza kuongea na binti yake huku
jamaa anasikia

"Aisee mwanangu nimebahatika kuuza ile
nyumba yangu sasa nimeona niwatumie milioni
20 mjaribu kuanzisha mradi na mwenzio.
Haya mwambie yeye nitampigia kesho kama
ana mradi mwingine nimpe hela kidogo".Baada
ya simu kukatwa mke akamgeukia jamaa
akamuuliza,"eeenhee!!! ulikuwa unasema
umenichoka nikusanye nguo zangu halafu
iweje? Jamaa kwa upole akajibu "Nilikuwa
nasema ukusanye nguo zako na unipe nifue".
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Elizabeth Mrema (Guest) on December 14, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on December 14, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on December 6, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Dorothy Nkya (Guest) on November 28, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Salima (Guest) on November 26, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on November 19, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Michael Mboya (Guest) on November 18, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

James Kawawa (Guest) on November 15, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on October 18, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on September 29, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Mkumbo (Guest) on September 23, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on September 23, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Issack (Guest) on September 10, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Agnes Lowassa (Guest) on August 21, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on August 3, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on August 3, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on August 1, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on June 28, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Charles Mrope (Guest) on June 27, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nancy Kawawa (Guest) on June 26, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on June 25, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Monica Lissu (Guest) on June 14, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on June 2, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Betty Cheruiyot (Guest) on May 25, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

James Malima (Guest) on May 20, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Alex Nakitare (Guest) on May 7, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Esther Cheruiyot (Guest) on April 19, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Samuel Were (Guest) on March 26, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Kassim (Guest) on March 23, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Jackson Makori (Guest) on March 17, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Mary Kidata (Guest) on February 27, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Samuel Omondi (Guest) on February 18, 2016

Asante Ackyshine

Shabani (Guest) on February 2, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Tambwe (Guest) on January 29, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

John Malisa (Guest) on January 28, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Joseph Kawawa (Guest) on January 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on December 27, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on December 22, 2015

🀣πŸ”₯😊

George Ndungu (Guest) on December 12, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 4, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Fatuma (Guest) on November 26, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Grace Mushi (Guest) on November 8, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on October 10, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

John Lissu (Guest) on October 6, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on September 19, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on September 7, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on August 14, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on August 9, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Khamis (Guest) on July 21, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Fikiri (Guest) on July 16, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Raphael Okoth (Guest) on July 10, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nancy Kabura (Guest) on June 30, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on June 17, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 4, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Stephen Kikwete (Guest) on May 19, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on May 11, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Related Posts

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More