Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Featured Image

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…



2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.


4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:

WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake

WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform

WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi

WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!

WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja


5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!


7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"


8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Michael Onyango (Guest) on February 15, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on February 10, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Esther Nyambura (Guest) on January 16, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on January 12, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Diana Mumbua (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on October 28, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Hawa (Guest) on October 7, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Paul Kamau (Guest) on September 28, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Zakia (Guest) on September 28, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Dorothy Nkya (Guest) on September 25, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

George Tenga (Guest) on September 11, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Jane Muthoni (Guest) on September 6, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on August 23, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on August 17, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Alice Wanjiru (Guest) on July 31, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on July 31, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ali (Guest) on July 19, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 12, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on June 21, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on June 20, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Kevin Maina (Guest) on June 2, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on June 2, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on April 9, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on April 9, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on March 13, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Grace Njuguna (Guest) on March 5, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Aoko (Guest) on February 19, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on January 18, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on January 7, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Anna Kibwana (Guest) on January 3, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Khatib (Guest) on January 2, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Masika (Guest) on January 2, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Henry Mollel (Guest) on December 11, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on December 9, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on October 29, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on October 29, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Isaac Kiptoo (Guest) on October 24, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Kitine (Guest) on September 11, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on August 31, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Anna Malela (Guest) on August 29, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Fatuma (Guest) on August 23, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Raphael Okoth (Guest) on August 22, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on August 1, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Betty Cheruiyot (Guest) on July 30, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on July 13, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Issa (Guest) on June 12, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Nancy Komba (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Michael Onyango (Guest) on June 10, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

David Musyoka (Guest) on May 30, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Betty Akinyi (Guest) on May 30, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on May 28, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on April 19, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on April 15, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on April 15, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Elizabeth Malima (Guest) on April 7, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More