Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

Mtoto: unaweza ukampa house boy/girl ATM CARD yako na namba ya siri ukakuchulie pesa?

Baba: mtoto unatafuta balaa sasa, unataka siku akiiba hii card akachukue pesa zote tuwe maskini, sithubutu.

Mtoto: aahaaaaaa, kumbe hauwezi kumkabidhi chochote chenye thamani house boy/ girl, sasa kwa nini mnanikabidhi mimi kwa house boy/girl na nyie mnaenda kazini mpaka mnarudi kumbe mimi sina thamani kwenu eeeeh!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Kitine (Guest) on August 8, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on July 29, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on June 25, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on June 12, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Peter Mugendi (Guest) on June 4, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on May 21, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on March 30, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jane Muthui (Guest) on March 30, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on March 23, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on March 19, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on February 23, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on January 30, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

George Ndungu (Guest) on October 18, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on October 2, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumari (Guest) on September 17, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on August 27, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on August 19, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Elizabeth Mrope (Guest) on August 8, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on July 29, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Daudi (Guest) on July 29, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nahida (Guest) on July 22, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 20, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

George Mallya (Guest) on July 17, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on July 8, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on July 4, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Rehema (Guest) on June 27, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Kawawa (Guest) on June 23, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on June 16, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Wairimu (Guest) on May 29, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on May 7, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on April 15, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Martin Otieno (Guest) on March 19, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on February 28, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Catherine Naliaka (Guest) on February 8, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Elizabeth Mtei (Guest) on January 27, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Rukia (Guest) on December 17, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Peter Tibaijuka (Guest) on December 16, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Kibona (Guest) on December 13, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on December 8, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Ahmed (Guest) on December 8, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Betty Kimaro (Guest) on November 30, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Elizabeth Mrope (Guest) on November 20, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Samson Tibaijuka (Guest) on November 6, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on November 1, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanais (Guest) on September 25, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Margaret Anyango (Guest) on September 4, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 26, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

John Mwangi (Guest) on August 20, 2015

Asante Ackyshine

Linda Karimi (Guest) on July 24, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Masika (Guest) on May 16, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nora Lowassa (Guest) on May 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on May 6, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ruth Mtangi (Guest) on April 26, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on April 8, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Baridi (Guest) on April 8, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Joy Wacera (Guest) on April 8, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More