Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Featured Image

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa siku na muda husika

1. UGALI NA KUNDE
Mwitaji : πŸ—£Joniiiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Uje ukule

2. UGALI NA SAMAKI
Mwitaji: πŸ—£ we Joniiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Unaitwa na Mama

3. WALI NA NYAMA/KUKU
Mwitaji: πŸ—£ Joniiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Shauri yako!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Abubakar (Guest) on December 1, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Maulid (Guest) on November 16, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mary Mrope (Guest) on November 8, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Peter Mwambui (Guest) on October 29, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Betty Akinyi (Guest) on October 12, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

George Mallya (Guest) on September 27, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on September 14, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Kahina (Guest) on September 8, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Kiza (Guest) on August 23, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mariam Hassan (Guest) on August 9, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Andrew Odhiambo (Guest) on August 1, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mtumwa (Guest) on July 10, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Abdillah (Guest) on June 14, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Binti (Guest) on May 30, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on May 29, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on May 12, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Daniel Obura (Guest) on May 7, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Zakia (Guest) on April 18, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Frank Macha (Guest) on April 12, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on April 7, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Josephine Nduta (Guest) on March 29, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on March 17, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on March 6, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on February 27, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Malima (Guest) on February 21, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Kawawa (Guest) on February 13, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on February 10, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on February 8, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Moses Kipkemboi (Guest) on February 3, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on January 17, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Minja (Guest) on January 5, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Kamau (Guest) on December 28, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Betty Akinyi (Guest) on December 7, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 21, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mary Mrope (Guest) on November 19, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on September 5, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on August 25, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Janet Mbithe (Guest) on June 30, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Lydia Wanyama (Guest) on June 19, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on May 28, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Victor Malima (Guest) on May 27, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Nchi (Guest) on May 15, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anna Malela (Guest) on April 16, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Abubakar (Guest) on April 11, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Khalifa (Guest) on April 8, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Henry Sokoine (Guest) on April 5, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on April 4, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Hekima (Guest) on February 22, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Shamsa (Guest) on January 26, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Victor Kamau (Guest) on January 22, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on January 20, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kahina (Guest) on January 15, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Susan Wangari (Guest) on January 12, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on December 19, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Umi (Guest) on December 15, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Shukuru (Guest) on December 10, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Michael Mboya (Guest) on November 23, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Farida (Guest) on November 23, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

David Sokoine (Guest) on November 18, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Nancy Akumu (Guest) on November 13, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Related Posts

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More