Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, lakini mara zote nimekua nikitumia kinga. Inawezekanaje hii?

DAKTARI:Β Ngoja nikusimulie hadithi. Kulikua na Muindaji ambaye alikua anabeba bunduki kila aendako. Siku moja, alichukua mwamvuli badala ya bunduki na akaenda nayo. Ghafla akatokea Simba mbele yake. Ili amtishie Simba, muindaji akatumia mwamvuli na kummiminia risasi Simba. Simba akafa palepale!
MVULANA:Β Sio kweli!! Lazima kulikua na mtu mwengine pembeni aliyempiga risasi Simba.

DAKTARI:Β Nashukuru umeelewa somo!!πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Njoroge (Guest) on March 30, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Abubakari (Guest) on March 25, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Kheri (Guest) on March 9, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Francis Mrope (Guest) on February 23, 2020

Asante Ackyshine

Daudi (Guest) on February 11, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Adhiambo (Guest) on January 21, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Maneno (Guest) on January 17, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Margaret Anyango (Guest) on January 9, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on December 30, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

George Wanjala (Guest) on December 26, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Esther Nyambura (Guest) on December 9, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on August 15, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Joyce Nkya (Guest) on August 8, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on July 24, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

John Lissu (Guest) on July 12, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on June 19, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Stephen Kangethe (Guest) on June 16, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Stephen Kangethe (Guest) on June 9, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on June 4, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on April 16, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on April 13, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Anthony Kariuki (Guest) on April 12, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 4, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mwanaisha (Guest) on March 18, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Monica Lissu (Guest) on March 2, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Frank Macha (Guest) on February 1, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on January 25, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on January 18, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Fredrick Mutiso (Guest) on January 16, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on January 13, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on December 16, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

David Kawawa (Guest) on November 25, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on November 4, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on November 1, 2018

😊🀣πŸ”₯

Janet Mwikali (Guest) on September 17, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mustafa (Guest) on September 15, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lucy Mahiga (Guest) on September 13, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Andrew Mchome (Guest) on September 2, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on August 21, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Samson Mahiga (Guest) on August 11, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on August 8, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mwajuma (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Malima (Guest) on July 16, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Wanjiku (Guest) on July 5, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on June 17, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on June 17, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Zawadi (Guest) on May 19, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Agnes Lowassa (Guest) on May 13, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Abdillah (Guest) on May 3, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Mrope (Guest) on March 30, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

George Ndungu (Guest) on March 23, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Fredrick Mutiso (Guest) on March 16, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on February 22, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Raphael Okoth (Guest) on November 21, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Stephen Amollo (Guest) on November 20, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on October 29, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

Mhina (Guest) on September 29, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on September 21, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on September 6, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Anna Mchome (Guest) on August 14, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More