Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Featured Image

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje mbele.

Mara kasimama kibabu na kwenda mbele, bibi harusi alipomuona tu yule babu akazimia.

Mchungaji akauliza:Β tueleze pingamizi lako

Kibabu kikajibu:Β Nimeamua kuja mbele kwasababu kule nyuma sisikii!!!.

kanisa zima hoi,

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

George Wanjala (Guest) on November 16, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on October 22, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mwanahawa (Guest) on October 20, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Martin Otieno (Guest) on October 16, 2019

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Salum (Guest) on September 16, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Mwajabu (Guest) on September 11, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on September 1, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Ndoto (Guest) on August 22, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on August 18, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on June 30, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Philip Nyaga (Guest) on May 19, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on May 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on May 10, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mariam (Guest) on May 3, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Chris Okello (Guest) on April 10, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on April 1, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Edward Lowassa (Guest) on March 31, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on March 27, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on March 13, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on February 9, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Monica Adhiambo (Guest) on January 28, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Zakaria (Guest) on January 23, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Grace Minja (Guest) on January 4, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Azima (Guest) on December 12, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Rose Kiwanga (Guest) on October 3, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Joyce Mussa (Guest) on October 1, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on October 1, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Abdillah (Guest) on September 1, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Kevin Maina (Guest) on August 3, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on July 19, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Husna (Guest) on July 11, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Elizabeth Mrema (Guest) on July 1, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Hekima (Guest) on June 23, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on June 18, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Makame (Guest) on June 18, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Betty Akinyi (Guest) on June 12, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on June 4, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on June 2, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on May 27, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on May 20, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Catherine Mkumbo (Guest) on May 12, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mjaka (Guest) on April 12, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Rose Amukowa (Guest) on April 4, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

John Lissu (Guest) on March 28, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Michael Mboya (Guest) on March 27, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Samson Mahiga (Guest) on March 4, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on February 24, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on February 10, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Jabir (Guest) on February 8, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Ali (Guest) on January 20, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

James Kawawa (Guest) on January 19, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

John Kamande (Guest) on December 24, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Njuguna (Guest) on December 9, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on November 21, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Mbise (Guest) on November 7, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on November 1, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Hekima (Guest) on October 30, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mwanaisha (Guest) on October 13, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

George Wanjala (Guest) on September 29, 2017

😊🀣πŸ”₯

Elijah Mutua (Guest) on September 15, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Related Posts

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More