Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Featured Image
Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo.
Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza vocal:
Jamaa: dada mi nakupenda saana
Dem: Kaka naomba umsikilize mchungaji
Jamaa: nipe nafasi uwe msimamizi wa serikali ya moyo wangu…
Dem: niache…
Jamaa: kweli nakupenda mpnz
Dem: (kwa sauti kubwa) nmesema NIACHEEEE!!
Watu wote kanisani wakageuka… Jamaa kaona noma na ili atulize msala
Jamaa: sikuachi hadi ukiri YESU kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Mutua (Guest) on October 25, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Lucy Mushi (Guest) on October 14, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Khadija (Guest) on September 15, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on August 25, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Nuru (Guest) on July 23, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Sarah Mbise (Guest) on July 21, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on July 17, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on July 15, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on June 26, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 18, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on June 2, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Sarah Karani (Guest) on May 24, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

David Ochieng (Guest) on February 20, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on February 6, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on December 27, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on December 26, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on December 5, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 4, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Hawa (Guest) on November 14, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Nora Kidata (Guest) on October 23, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Andrew Mchome (Guest) on October 9, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on September 19, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on September 1, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mariam (Guest) on August 30, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Elizabeth Mrope (Guest) on August 10, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Lowassa (Guest) on July 31, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Leila (Guest) on June 28, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Edith Cherotich (Guest) on June 22, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Lydia Wanyama (Guest) on June 16, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on June 3, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Zawadi (Guest) on June 2, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Rose Lowassa (Guest) on May 29, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Patrick Akech (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on April 13, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Maulid (Guest) on April 10, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mary Mrope (Guest) on March 27, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Anna Sumari (Guest) on March 25, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Rose Lowassa (Guest) on March 16, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on March 14, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Chacha (Guest) on March 11, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

John Mwangi (Guest) on March 4, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on February 26, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ali (Guest) on February 25, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Peter Tibaijuka (Guest) on February 20, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Asha (Guest) on January 2, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on December 28, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on November 17, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 15, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

John Lissu (Guest) on November 14, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nancy Kabura (Guest) on October 2, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Salma (Guest) on September 24, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on September 6, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Alice Mrema (Guest) on August 17, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on August 14, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Grace Wairimu (Guest) on August 8, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Mbise (Guest) on August 7, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

George Mallya (Guest) on July 15, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Joseph Njoroge (Guest) on June 19, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Majid (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 6, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Related Posts

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More