Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza.

Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe.

Bahati mbaya wakiwa wamejilaza kitandani ili dalali aone adhabu wanayopata, Mzee mwenye mali alirudi ghafla, akauliza,

'Nyie mnafanya nini hapa?'

Masikini dalali kwa woga mkubwa akajibu' Tunangoja treni'
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Christopher Oloo (Guest) on June 13, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mercy Atieno (Guest) on May 21, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

John Mushi (Guest) on May 16, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on May 7, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Umi (Guest) on April 23, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Peter Otieno (Guest) on April 9, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joseph Mallya (Guest) on March 31, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Anna Kibwana (Guest) on March 5, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Margaret Mahiga (Guest) on March 3, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sultan (Guest) on February 26, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Andrew Mahiga (Guest) on February 4, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Josephine Nekesa (Guest) on January 28, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on January 18, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on December 28, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on December 21, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 23, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mary Kidata (Guest) on November 23, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on November 12, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on September 15, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on July 1, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Janet Wambura (Guest) on June 28, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Anna Mchome (Guest) on June 12, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Lydia Mutheu (Guest) on May 10, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on April 9, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

John Lissu (Guest) on March 27, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

David Ochieng (Guest) on March 17, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

John Kamande (Guest) on March 15, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on March 15, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Abdullah (Guest) on February 13, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Peter Mugendi (Guest) on February 7, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Thomas Mtaki (Guest) on January 21, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on December 28, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on November 25, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on October 9, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on September 23, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ruth Mtangi (Guest) on September 7, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Habiba (Guest) on August 6, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Irene Makena (Guest) on July 19, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on June 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on May 20, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on May 3, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Monica Nyalandu (Guest) on April 30, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on April 28, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 14, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on March 7, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Anna Mchome (Guest) on February 24, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Isaac Kiptoo (Guest) on February 23, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on February 15, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on February 2, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on January 18, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on January 7, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Neema (Guest) on January 5, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Grace Minja (Guest) on December 24, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Josephine Nekesa (Guest) on November 25, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on November 23, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Samuel Were (Guest) on November 19, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Karani (Guest) on September 24, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on July 28, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Sarafina (Guest) on July 21, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Related Posts

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More