Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy,
MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa
MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye
kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;

MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili?
MFAMASIA: Kama chumvichumvi
MZEE: Hakuna sukari
MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa
MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

George Tenga (Guest) on November 4, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Fredrick Mutiso (Guest) on October 16, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Hassan (Guest) on October 9, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elijah Mutua (Guest) on September 16, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Josephine Nduta (Guest) on September 13, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Issack (Guest) on July 28, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Francis Njeru (Guest) on July 26, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on July 21, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Stephen Kikwete (Guest) on July 20, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 16, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on May 13, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 12, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on May 6, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on April 28, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mgeni (Guest) on April 24, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Simon Kiprono (Guest) on April 11, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on April 8, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on March 22, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on March 19, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

David Sokoine (Guest) on January 27, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on January 8, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on December 25, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on November 24, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on November 6, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Betty Kimaro (Guest) on October 24, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on October 20, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Christopher Oloo (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Frank Macha (Guest) on August 23, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on August 20, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on August 10, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on July 27, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Anna Sumari (Guest) on July 12, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lydia Mutheu (Guest) on June 26, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on April 19, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on April 6, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Maneno (Guest) on April 2, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Grace Njuguna (Guest) on March 31, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Biashara (Guest) on March 29, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

John Lissu (Guest) on March 22, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Chris Okello (Guest) on March 14, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Sarafina (Guest) on March 3, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Wambura (Guest) on February 26, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Sokoine (Guest) on February 5, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on January 10, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on November 29, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Shani (Guest) on October 20, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on October 11, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on October 6, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on October 5, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on September 27, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rose Amukowa (Guest) on September 21, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kevin Maina (Guest) on September 14, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Josephine (Guest) on August 21, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on August 15, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 7, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on July 26, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on June 14, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Janet Sumaye (Guest) on May 17, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

Related Posts

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More