Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Featured Image
Angalia kilichotokea

Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "hii sura sio ngeni machoni mwangu sema jina tu silikumbuki..! !!

Mlevi wa pili akamnyang'anya kisha nae akaangalia kioo akasema "wee kweli huna akili, si mimi huyu? halafu unajidai hunikumbuki …!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joyce Mussa (Guest) on November 14, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on October 28, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on September 30, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on August 27, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Francis Njeru (Guest) on August 24, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on July 19, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Monica Adhiambo (Guest) on June 22, 2019

🀣πŸ”₯😊

Alice Jebet (Guest) on June 21, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Charles Mchome (Guest) on June 13, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Josephine Nekesa (Guest) on June 7, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Monica Adhiambo (Guest) on May 29, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on May 12, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Irene Akoth (Guest) on May 5, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Sokoine (Guest) on April 24, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on April 23, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on April 22, 2019

😊🀣πŸ”₯

David Musyoka (Guest) on April 22, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on April 21, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

John Malisa (Guest) on April 12, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

David Sokoine (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on February 23, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on February 22, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on February 3, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on January 21, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Victor Kimario (Guest) on January 14, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

James Kimani (Guest) on December 29, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on November 28, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Fadhila (Guest) on November 21, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Ndoto (Guest) on October 4, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Moses Mwita (Guest) on September 28, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on September 20, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on September 11, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Raphael Okoth (Guest) on September 1, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

John Lissu (Guest) on September 1, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on August 14, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Maneno (Guest) on August 7, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joseph Kiwanga (Guest) on August 5, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Kenneth Murithi (Guest) on August 3, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on June 27, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Henry Mollel (Guest) on June 21, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Edward Chepkoech (Guest) on June 19, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mwanaidha (Guest) on May 5, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on May 1, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on April 17, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on March 29, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on February 24, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Janet Sumari (Guest) on February 1, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Violet Mumo (Guest) on January 28, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on December 31, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on December 18, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Shabani (Guest) on November 10, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on October 20, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on September 28, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on September 27, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Nyota (Guest) on September 22, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Victor Malima (Guest) on September 8, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

David Chacha (Guest) on September 4, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on September 2, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on September 2, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rehema (Guest) on August 24, 2017

Asante Ackyshine

Related Posts

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More